No comment

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,754
2e2c21f1e825e66a61e710df30c9a37f.jpg
 
Akikamatwa na kufunguliwa kesi utasikia malalamiko ya watu eti polisi wamemuonea mbona mafisadi hawakamatwi.
 
Akipigwa cha elfu30,000 na kunyanganywa leseni anaanza kusema majirani wamemloga kwa kuwa anamililiki boda boda...
Hamna anasema Mzee wa magogoni muonevu bora,nchi ingechukuliwa na mfugaji,basi MTU unajiuliza sijui nyumbu mambo ya hivyo huwa ni kadi yao
 
Ngoja nikutane nae lazima atoe kitu kidogo....Hawezi weka antenna ya Tv kwenye boda boda...
 
Back
Top Bottom