Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Jamani mwenye kujua code ya namba hiyo hanisaidie.
mmmiliki ananisumb ua kweli,akipiga nikipokea anauliza jina langu na kukata na baadaye kupiga tena karibu mara 10 kwa siku lakini mimi nikipiga naambiwa haipo na kweli ukitazama hizo namba zinazidi kwani kuna 0 kati ya code ya nchi na ya namba za mitandao.
nimejaribu hata kupiga namba 0684100700 laklini haifanyi kazi
tofauti ya namba hii na za kawaida ni kwenye sifuri tazama +2550684100700 na +255684100700
Nawezaje kujua mtu huyu yuko bongo hsap[a au mambo ya Technlojia
mmmiliki ananisumb ua kweli,akipiga nikipokea anauliza jina langu na kukata na baadaye kupiga tena karibu mara 10 kwa siku lakini mimi nikipiga naambiwa haipo na kweli ukitazama hizo namba zinazidi kwani kuna 0 kati ya code ya nchi na ya namba za mitandao.
nimejaribu hata kupiga namba 0684100700 laklini haifanyi kazi
tofauti ya namba hii na za kawaida ni kwenye sifuri tazama +2550684100700 na +255684100700
Nawezaje kujua mtu huyu yuko bongo hsap[a au mambo ya Technlojia