Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,730
- 519
Habari wadau wa Jf, kama kawaida vyuma vimekaza na mimi nnawaleta deal mezani, nnahitaji TV kuanzia inchi 40 mpaka 60 kwa bei nafuu iwe dukani au mkononi kikubwa iwe na ubora, malipo ni kidogo kidogo kwa kadri tutakavyokubaliana niko tayari tuandikishiane