Nnaomba kufaham Mshahara wa Mwasibu mwenye degree hiko kwa CAG

Kilemakyaaro

JF-Expert Member
Jul 19, 2016
5,050
5,077
Kama kichwa kivyojieleza wadau nnaomba kwa mjuzi anisaidie kufaham kwa Mwasibu anaeanza kazi akiwa na degree tu pale kwa CAG analipwa ngapi. Je hawa watu wana mishahara special kama TRA na BOT ama wanaanza kama watumishi wa kawaida
 
Kama kichwa kivyojieleza wadau nnaomba kwa mjuzi anisaidie kufaham kwa Mwasibu anaeanza kazi akiwa na degree tu pale kwa CAG analipwa ngapi. Je hawa watu wana mishahara special kama TRA na BOT ama wanaanza kama watumishi wa kawaida
TGSD ndugu ni sawa na mwalimu mwenye shahada
Screenshot_20210522-121231_Chrome.jpg


Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Akikatwa anabaki na 5.5 laki
Ni kweli njaaa kwani haiwezi kukutoa sehemu moja kwenda nyingine. Sema kama unaakili unaweza kukupa starter ya kutafuta kikubwa tofauti na umemaliza chuo wazazi wameuza kila kitu usome na wewe ndo tegemeo kubwa halafu na wewe ndo unaishi kwa hiyo laki 5.5

Ukipata hiyo kazi unaingia mkopo unaanza kufanya biashara.

Kuna kijana mmoja alipata ajira ya ualimu alifanya Kazi miaka 3. Tu baada ya kuthibitishwa kazini akaingia mkopo wa milioni 8 kama sikosei akatokomea mazima baada ya hapo wakamwamdikia utoro wakamfukuza Kazi.Akaenda kuwekeza kwenye mbao huko.Sasa hivi ni anahela hatari.

Sema tu changamoto ajira inalemaza akili wengi wanaona bora kidogo kuliko kutake risk
 
Ni kweli njaaa kwani haiwezi kukutoa sehemu moja kwenda nyingine. Sema kama unaakili unaweza kukupa starter ya kutafuta kikubwa tofauti na umemaliza chuo wazazi wameuza kila kitu usome na wewe ndo tegemeo kubwa halafu na wewe ndo unaishi kwa hiyo laki 5.5

Ukipata hiyo kazi unaingia mkopo unaanza kufanya biashara.

Kuna kijana mmoja alipata ajira ya ualimu alifanya Kazi miaka 3. Tu baada ya kuthibitishwa kazini akaingia mkopo wa milioni 8 kama sikosei akatokomea mazima baada ya hapo wakamwamdikia utoro wakamfukuza Kazi.Akaenda kuwekeza kwenye mbao huko.Sasa hivi ni anahela hatari.

Sema tu changamoto ajira inalemaza akili wengi wanaona bora kidogo kuliko kutake risk
Kweli wengi tunaogopa risk
 
CAG office kabla ya magu ilikuwa dili sana.. mashahara kidogo ila semina na rushwa za halmashauri kuwapooza auditors zilikuwa kibao.. ila magu kuja na control number CAG office ikaanza pata njaa.. watu kibao wameacha kazi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom