Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Kama kichwa kivyojieleza wadau nnaomba kwa mjuzi anisaidie kufaham kwa Mwasibu anaeanza kazi akiwa na degree tu pale kwa CAG analipwa ngapi. Je hawa watu wana mishahara special kama TRA na BOT ama wanaanza kama watumishi wa kawaida