Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,958
Wakuu niko kimahusiano na wadada takriban wa4,ni wazur na wana vigezo vyote,..walikua wa3 huyu wa4 hana hata mwez..siku ya wapendanao wala hata si i feel,tofaut na miaka kadhaa nyuma pind nipo na mdada flan etc etc..kwel upendo ni zaid ya kila kitu..usipompenda mtu kwel hata afanyaje.
Hawa wadada wanajitahid,kuna wawil ndo wanapajua kwangu ila wengne hawa nawarushaga tuu ili wasifike.
N.b,..nachojiuliza hiv kwel watu wanaooana kwa sabab flan na sio upendo hiv wanawezaje?..especialy wadada..wanaume weng tunapoamua kuoa ni had tumpende huyo dada.ila si lazma kwa wadada kua hiv.
Hawa wadada wanajitahid,kuna wawil ndo wanapajua kwangu ila wengne hawa nawarushaga tuu ili wasifike.
N.b,..nachojiuliza hiv kwel watu wanaooana kwa sabab flan na sio upendo hiv wanawezaje?..especialy wadada..wanaume weng tunapoamua kuoa ni had tumpende huyo dada.ila si lazma kwa wadada kua hiv.