Na si wote ni wanatokea CCM? Wacha waparurane. MbuziYale mabanda maarufu ya wamachinga, kwa uchunguzi wangu binafsi nmegundua viongozi wa serikali za mtaa ndio walikuja na mabanda mengi barabarani..na ndio walikuja wanapangisha wamachinga barabarani..so tusishangae zoezi hili kusua sua.