Ukiwa na pesa utathaminiwa haraka harakakwenye interview aliyo fanya laizer na millard ayo ana sema kwamba alisha omba mkopo bank(hakutaja n bank gani) zaid ya mara mbili na zote izo alkua ana ambiwa aende asubiri wana shughulikia suala lake lakin mara zote hizo mbili haku fanikiwa licha ya kupeleka vielelezo vyake ili apate mkopo
leo naona wajuba kama wajuba wanampa pongezi kwa lugha yao
kweli bongo nyoso
Hii lugha ya kimasai ngumu sanaHakika ule msemo wa pesa sabuni ya roho umejidhihirisha baada ya Bilionea Laizer kupongezwa kimasai na Benki ya NMB wakionyesha heshima kubwa kwake.
Pata pesa benki zikufate popote ulipo tena kwa kutumia lugha yako.
View attachment 1495302
Tafsiri jaman
Kwadee ni hongera.Tafsiri jaman
NMB utawaweza bas lol,Wanataka akasave huko hizo Billion zake ama
Kwakuwa ameprint taarifa hiyo au????Huyu Mkurugenzi lazima apatiwa fungu kidogo na Billionaire Laizer
Ndo lengo kubwa maana Mabank wataanza oohh njoo tukupe namna ya kutumia ela ..na anayekwambia hivo kwa mwezi analipwa 500000 na anataka kukushauri namna ya kutumia BILWanataka akasave huko hizo Billion zake ama