NMB wamekataa kupokea taarifa ya kuzuia miamala baada ya kadi ya benk kuibiwa matokeo yake wahalifu wamefanikiwa kutoa pesa

Mkuu, kuna taratibu za kufuata kwa mtu ambaye ni mgonjwa au amefariki. Linapokuja suala la kisheria, ubinadamu huwa unakaa pembeni.Bank ni miongoni mwa sekta ambazo ziko very limited kwenye kutumia ubunifu au akili ya kuzaliwa kwenye kutekeleza majukumu yake. Mfano leo hii wewe unaweza enda bank, ndani kuchukua pesa, Jamaa anatakiwa a verify sura yako na signature, sura inakuwa yako kabisa, ila ukiyumbisha signature kidogo tuu... hakuna namna utapata pesa zako...

Sent using Jamii Forums mobile app
That's true. Mdogo wangu alipiga signature tofauti na ile aliweka wakati anafungua akaunti. Wakamwambia hii sio yenyewe na hivyo hupati pesa. Baadaye akaikumbuka, akisign wakamwambia hii sasa ipo sawa, wakampa mpunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni sheria za kijinga kwa sababu
1. Kuzuia akaunti isitumike kwa muda haina madhara yoyote
2. Hata kama ataketoa taarifa ni mwizi mwenyewe ili mradi tu akaunti haitatoa pesa litasimiasha akaunti hiyo kutumiwa isivyo
3. Kusubiri mwenye akaunti aende ni upuuzi wa kiwango cha flyover kwa sababu huenda ametekwa au yuko mazingira hatarishi na hawezi kufika .

Mambo ya kujiuliza akaunti ikizuiwa temporaly inaleta madhara gani kinachohitajika wakati wa kutaka kuotumia kutoa pesa utahitajika kuthibitisha pasipo shaka kuwa wewe ni muhusika halali.
Tuache kukariri mambo na kuwa na mazoea tu bila kujiuliza

Sent using Jamii Forums mobile app
Madhara yapo, sema uwezo wako wa kufikiri ndio upo limited ndio maana huwezi kufikiria madhara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anold, Wewe na kijana wako muwe mnasoma vizuri term na conditions wakati wowote unapotakiwa kusign document yoyote.

Hayo waliyoyafanya maofisa wa Bank kwa kwa mujibu wa terms na conditions za mandates documents (mkataba) alozo-sign kijana wako wakati wa kufungua Account.

Tusome na tuzingatia mikataba na vipengele vyake!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua ni vema ukatumia akili ingalau kidogo ili kujibu, taarifa za awali ni muhimu kama uhalifu unatokea, mtu aliyetumwa kutoa taarifa alikuwa na vitambulisho, alikuwa namba za mmiliki wa kadi kikubwa ni kujiridhisha, kwa hiyo kutoa taarifa za kuzuia uhalifu usifanyike dhambi? ndiyo maana afisa wa kwanza alikubali baada ya kujua uharaka na umumu.
Mbona kama story ya uongo hii.kwanza unasema ni kijana wako, alafu tena unasema ni mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuambiane kwanza NYWILA ya akaunti waliipataje hao wezi?kisha utuambie kulikuwa na ugumu gan wa huyo kijana wako kushindwa kufika kwenye tawi alilokuwa karibu nalo

Anadai na simu pia iliporwa pamoja kwenye ilo beg aliwasiliana nae vipi kwa haraka kiasi hicho na je mda huo si bora angeenda mwenyewe bank kuripoti kuliko kumtuma mtu tena mtu watatu acheni mzaha
 
Nimesikitishwa sana na uzembe ambao Maofisa wa NMB- BANK HOUSE wameufanya na kusababisha wezi waliopora begi la kijana wangu pamoja na kadi ya Bank ya NMB wapate mwanya wa kuiba hela kwa kupitia kwenye ATM. Tukio lenyewe ni kuwa jana tarehe 27/02/2020 muda wa asubuhi kijana wangu aliporwa begi ambalo ndani yake kulikuwa na simu pamoja na kadi ya Bank.

Hivyo baada ya kunijulisha uporaji huo mara moja niliwasiliana na mtu ambaye alikuwa karibu na tawi la Bank ya NMB ili aweze kutoa taarifa za awali ili kuzuia wahalifu hao wasiweze kutumia hiyo kadi hiyo. Nilimpata mtu na kaenda moja kwa moja mpaka NMB bank house ambapo alikutana na maofisa ambao mmoja wao alikuwa tayari kusaidia, hata hivyo wakati anaendelea kujaribu kuzuia miamala isifanyike inasemekana alitokea afisa mwingine wa bank na kumueleza Afisa aliyekuwa anaendelea na zoezi la kufunga miamala kuwa hairuhusiwi mtu mwingine kutoa taarifa Bank ya kufunga miamalla isipokuwa mhusika mwenyewe hivyo ikaelekezwa kuwa lazima mwenyewe akatoe taarifa. Jambo hili limesababisha uzembe mkubwa kwani wezi hao wameweza kutoa hela bila wasiwasi wowote.

Nashauri uongozi wa NMB waangalie baadhi ya taratibu ambazo hazina msingi katika usalama wa hela za wateja. Hakukuwa na sababu yeyote ya kupuuza taarifa za awali ilitakiwa kukubali taarifa na kuzifanyia kazi. Hili jambo kwa kweli limenisikitisha sana maana endapo mwenye akauti yupo hospitali au amekufa n.k itakuwaje? hizi ni kanuni mbovu kwenye usalama wa fedha za watu, sasa mmekataa na pesa zimeibwa kipi bora?
Pole sana lakini taratibu hizo za benki sehemu nyingi duniani. Mwenye akaunti tuu ndiye anayetambuliwa. Hata hivyo, hao wezi waliwezaje kufahamu password ya akaunti hiyo???? Inside job -most likely ndugu jamaa wa karibu na ndiyo maana tunaambiwa password ya account zetu tuzihifadhi vizuri kwani hata mwanao[kama anaifahamu] anaweza kufanya deal ukaibiwa
 
Aaah ulaya bhana raha. Unaingia kwa website una log in mwenyewe ukaclick BLOCK my account huku ukiwa chooni unakunya mavi. Asante ulaya.
Kibongobongo qummaaaaaaaaaninaaaaaa walai
 
kwanini kijana amiliki kadi ambayo siyo yake pia usijari fuata taratibu zote za kufungua kesi si kulikua na kamaera.
 
Anold, Wewe na kijana wako muwe mnasoma vizuri term na conditions wakati wowote unapotakiwa kusign document yoyote.

Hayo waliyoyafanya maofisa wa Bank kwa kwa mujibu wa terms na conditions za mandates documents (mkataba) alozo-sign kijana wako wakati wa kufungua Account.

Tusome na tuzingatia mikataba na vipengele vyake!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una pointi, kuwa tunasaini condition zingine bila kujua madhara yake, japo ni masharti ya kipuuzi ya benki. Uko SAHIHI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Somebody should tell him ! Kijana wako amekupiga fanya kumnunulia simu nyingine tu na hizo hela sahau


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
JIFUNZE KUFIKIRI NJE YA BOX, KUNA MAZINGIRA MENGINE INABIDI TU AFISA UTUMIE COMMONSENSE!

SAWA NA KUSEMA UKIPATA AJALI HURUHUSIWI KUTIBIWA HOSPITALI BILA PF 3, WATU WENGI WAMEKUFA KWA HUU UJINGA!

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu upumbavu unaboa sana. PF3 mtu yuko critical anavuja damu wanafosi kuandikishana maelezo.
 
Naona mleta mada kaamua kuingia mitini huwezi kuipiga Benki kitoto hivyo
 
Ungefuata taratibu zao. Benki zote anayetakiwa kutoa taarifa ni mhusika mwenyewe ndio wanafunga
Hata mimi ningelikuwa Ofisa wa Benki nisingelifunga. Utaratibu lazima ufuatwe. Kama ingelikuwa ni fitna je, so benki ingelishtakiwa? By the way, walijuaje namba yake ya siri hadi wakamwibia? Sio kwamba kijana alimwingiza chaka mdingi wake?
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom