Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Tumeanza July 2018 vibaya. NMB wamejinasua kwenye huduma ya Salary Advance waliyokuwa wakiitoa mwaka wa fedha 2017/18 ambapo Mtumishi wa Umma alikuwa na uwezo wa kukopeshwa karibu 40 % ya take home yake pindi anapokuwa na uhitaji wa dharura.
Sasa naona jamaa (NMB) wameitoa huduma hiyo. Sijui tukimbilie wapi sasa.
Sijui wale wa CRDB na benki zingine.
Tutafika tu
Sasa naona jamaa (NMB) wameitoa huduma hiyo. Sijui tukimbilie wapi sasa.
Sijui wale wa CRDB na benki zingine.
Tutafika tu