mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,753
- 7,075
wana JF,
Ukiingia NMB mlangoni unakuta mtu wa kukuelekeza kunawa mikono kwa kujipaka dawa fulani hivi kama sabuni alafu unaendelea na shughuli zako, sasa hizi benki nyingine hakuna huduma hivyo wanagonja nini?
Taadhali zinaanzia kwenye mikusanyiko naona sasa kila basi zote zibebe sabuni hizi kabla ya kushika mabomba. watanzania tabia ya kujikuna uso haikwepeki kwani jasho la joto limetapakaa.
Ukiingia NMB mlangoni unakuta mtu wa kukuelekeza kunawa mikono kwa kujipaka dawa fulani hivi kama sabuni alafu unaendelea na shughuli zako, sasa hizi benki nyingine hakuna huduma hivyo wanagonja nini?
Taadhali zinaanzia kwenye mikusanyiko naona sasa kila basi zote zibebe sabuni hizi kabla ya kushika mabomba. watanzania tabia ya kujikuna uso haikwepeki kwani jasho la joto limetapakaa.