1. Nenda ATM yeyote ya NMB, chomeka kadi yako
2. Bofya chini, kulia
3. Chagua badili namba ya SIMU
4. Ingiza namba mpya ya SIMU unayotaka
5. Ingiza pasword uliyokuwa ukitumia awali ku-access huduma za bank kwenye simu, maliza.
Baada ya hapo utapokea ujumbe kwenye simu yako kuwa umefanikiwa kubadili namba ya NMB Mobile kutoka Mf. 0752XXXXXX kuwa 0683XXXXXX.


Gharama zipoje kwa kila mtandao hapo, maana haya ndiyo mambo hayasemwi mwisho wa siku tunajikuta tumeliwa halafu tunawaelekezea lawama Nmb
 
Mastercard zenu mbona zinazingua kufanyia online payement? Nimejazishwa fomu zaidi ya mara tatu lkn hakuna jipya
 
Habari..... Mimi ni mtumishi wa serikali pia ni mfanyabiashara. Naomba kujuzwa Endapo nitachukua mkopo(Tsh.5000,000) kwa kutumia nafasi ya utumishi wangu kwa muda wa marejesho miezi 60 ambayo interest yake itakuwa Tsh.2,455,772.73

Swali: Je? kupitia mihangaiko yangu ndani ya miezi 12 nikahitaji ku clear mkopo wangu nitalipa interest kiasi gani?
Je nitalipa ile ya miezi 12 yaani interest ya Tsh.472285.12
 
Wajuzi namba msaada hapa kwenye Klik App wa NMB inasumbua kidogo. Nikitaka kulog in nikiandika namba ya simu na PIN inaishia kuniletea hii notification badala ya kufunguka.
Mwanzo nilijua kwa vile nimebadili namba na kuweka Voda kwenye NMB mobile wakati Internet natumia ya Tigo, Lakini hata nilipojaribu kutumia internet ya Voda bado mambo ni yaleyale.
IMG_20191001_134941_730.jpeg
 
IT walio program mashine za mawakala ni wanafunzi. Hazina mifumo kutoa taarifa mwamala unaposhindikana. Zinatunza kumbukumbu moja tu. Mtandao ukiwa chini waweza hudumia wateja na usipate jibu kumbe transaction imefanyika.

Ukiangalia salio haikubali. Mtandao ukirudi salio limepungua. Kama ni umeme ndio humpati, labda awe jirani mstaarabu. Watafuteni IT waliokuwa MAXCOM, ni weledi.
 
Mkuu hiyo voda umeweka laini number ngap katika simu? Number 1 au mbili...
Wajuzi namba msaada hapa kwenye Klik App wa NMB inasumbua kidogo. Nikitaka kulog in nikiandika namba ya simu na PIN inaishia kuniletea hii notification badala ya kufunguka.
Mwanzo nilijua kwa vile nimebadili namba na kuweka Voda kwenye NMB mobile wakati Internet natumia ya Tigo, Lakini hata nilipojaribu kutumia internet ya Voda bado mambo ni yaleyale.View attachment 1220512
 
Nmb kwenye swala La Mikopo
Mafisa Mikopo wanatamaa sana
Nahitaji Mikopo WA MIL 8 kukuza biashara yangu ili niweze pata mkopo haraka lazima nimwachie MIL 1.5 kwenye kulipa deni nalipa mwenyewe Pamoja na alizo chukua wakati kuandaa mkopo Nmb Mafisa Mikopo wenu wanatumiza Sana sisi wafanyabiashara wekeni utaratibu mzuri
 
Vp kuhusu kuunganishwa na huduma ya advance salary maana nimeenda tawi mojawapo la NMB naambiwa niwe na barua ya mwajiri wangu je ndo taratibu mlizonazo kwa sasa kwa mteja aje na barua ya mwajiri
 
Vp kuhusu kuunganishwa na huduma ya advance salary maana nimeenda tawi mojawapo la NMB naambiwa niwe na barua ya mwajiri wangu je ndo taratibu mlizonazo kwa sasa kwa mteja aje na barua ya mwajiri
Kama ulifungua na akaunti ya chapchap kuna taarifa zinatakiwa kuongezwa kama mwajiriwa hivo yes ni lazima upeleke barua ya mwajiri na kitambulisho
 
Habari za usiku huu, naomba kujuwa utaratibu huu ukoje kwa bank ya NMB nilifungua account Tangu week iliopita na jana nikajaza form maalum ili kuiboresha kadi yangu na kufanya miamala mtandaoni kwa kununua bidhaa, jana hiyo nimekumbana na vikwazo vingi sana ikiwemo ukoseaji kwenye zoezi la kujaza form lakini ikafika mahali nikafanikiwa shughuli ikaja kwenye saini nimesaini zaidi ya mara 6 zinagoma mwishoe nikaambibiwa nitafute affidavit kwa ajili ya kiapo cha saini nilitahidi nikafanikiwa kupata kiapo hicho nikapeleka nikaambiwa niandike barua kwa manager ya kuomba kubadili saini nikiandika nikamaliza kila kitu nipo hoi bin taabani nikitegemea kupata huduma mda huo maana nilikuwa na shida kweli na hiyo huduma, mwisho shughuli yote nikaambiwa wao hawawezi fanya kazi hiyo mpaka makao makuu na watatuma hizo document huko,

Kilicho niudhi zaidi nauliza je nitafanikiwa kwa mda gani kadi yangu kuwa na ruhusa kufanya manunuzi? Jibu mda maalum haujulikani , Swali langu NMB kweli unaweza kufanya kazi usiyojuwa utaimaliza mda gani ? Na je ni kweli hiyo huduma mpaka makao makuu?

Au huduma hiyo haipo kabisaa tujuwe sisi wateja wenu maana nilivyosumbuka na kutoa pesa nyingi bado nakuja kujibiwa mda hautabiriki wa account yangu kuwa tayari kufanya miamala.

Naomba kupata majibu wakuuu
 
Vp kuhusu kuunganishwa na huduma ya advance salary maana nimeenda tawi mojawapo la NMB naambiwa niwe na barua ya mwajiri wangu je ndo taratibu mlizonazo kwa sasa kwa mteja aje na barua ya mwajiri
Hawawezi kuja kujibu, lakini ndo utaratibu wao huo, peleka barua watakuunga chap
 
Hii namba yenu 0800002002 inampokeaji kweli???? Nimefanya transfer ya 1M jana kwenda kwenye mpokeaji mwenye namba ya Voda. Nimetembelea ofisini zenu Bank House nimeshauriwa nipige namba hiyo. Whenever am dialing no body receives!!!!. Naishia kusikia matandazo tu then inakata....................
 
nmb kwanini hamjibu maswali ya wateja wenu???? jitoeni basi maana naona tunauliza na kujibizana wenyewe tu hizi ni dharau bank haipo moja aisee badilikeni mnakera sana
 
Hii namba yenu 0800002002 inampokeaji kweli???? Nimefanya transfer ya 1M jana kwenda kwenye mpokeaji mwenye namba ya Voda. Nimetembelea ofisini zenu Bank House nimeshauriwa nipige namba hiyo. Whenever am dialing no body receives!!!!. Naishia kusikia matandazo tu then inakata....................
Hawa jamaa hawathamini wateja kabisa
 
Back
Top Bottom