Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejaribu lini?Nmb salary advance inazngua
Nmb salary advance inazngua
Hili tatizo limekuwa sugu.Kama wameishiwa pesa wasemeNina shida kwenye Nmb mobile kwenye sehemu ya Nikopo.Nikiomba Salary advance inasema niende na kitambulisho Nmb branch.Nimeenda wakaniambia niwape salary slip na kitambulisho cha kazi lakini bado tatizo liko pale pale.Naomba mnisaidie.Naomba ikiwezekana mnitumie namba zenu za wasap nitume salary sleep na Kitambulisho cha kazi. Jina la akaunti ni John Yohane,Account no 51010013034. check no 111664825,85T3 5008,85T3-002.Natuma kitambulisho chino.
Jaribu baada ya mwezi kupinduka...yaani tarehe moja ya mwezi ujao..( inasemekana lakini)Hili tatizo limekuwa sugu.Kama wameishiwa pesa waseme
Utaratibu umekaaje huo wakati huduma ilikuwa inapatikana siku ya pili baada ya mshahara kutokaJaribu baada ya mwezi kupinduka...yaani tarehe moja ya mwezi ujao..( inasemekana lakini)
Kwahyo kumbe ni kitu ambacho kipo siku zote? Basi itakua kuna maboresho kidogo watarekebisha soon.Utaratibu umekaaje huo wakati huduma ilikuwa inapatikana siku ya pili baada ya mshahara kutoka
Duuuh!! Umejilipua haswa. Why usiwatumie hizo details pm? Au ndio vyuma kukazaNina shida kwenye Nmb mobile kwenye sehemu ya Nikopo.Nikiomba Salary advance inasema niende na kitambulisho Nmb branch.Nimeenda wakaniambia niwape salary slip na kitambulisho cha kazi lakini bado tatizo liko pale pale.Naomba mnisaidie.Naomba ikiwezekana mnitumie namba zenu za wasap nitume salary sleep na Kitambulisho cha kazi. Jina la akaunti ni John Yohane,Account no 51010013034. check no 111664825,85T3 5008,85T3-002.Natuma kitambulisho chino.
Waweke wazi mamboHili tatizo limekuwa sugu.Kama wameishiwa pesa waseme
Vyuma ni tight chiefDuuuh!! Umejilipua haswa. Why usiwatumie hizo details pm? Au ndio vyuma kukaza
Nenda kwa Wakala wa NMB hayo mambo hutayaona,kwakuwa wewe no mvivu wa kuandika Fanya hivoMie mnanikera sana NMB. Hivi kwanini mteja anakuja kwenye tawi lenu, ana bili au sijui niseme vocha ambayo tayari amepewa kwenye ofisi ya serikali, hiyo karatasi inakuwa ina control number, lakini bado mnataka mteja ajaze tena zile karatasi zenu za benki za kuwekea hela. Kwanini hamfanyi kama CRDB mkaweka hela kwa kutumia ile karatasi ya bill aliyonayo mteja kutoka ofisi husika ya serikali. Mnaboa sana aiseee!!!
wewe ndie msemaji wa "benki ya wanyonge"??????Nenda kwa Wakala wa NMB hayo mambo hutayaona,kwakuwa wewe no mvivu wa kuandika Fanya hivo
Hili Jukwaa bado halina msaada siku ya tatu leo toka pesa zangu zizuiwe na ATM pamoja na kujaza form lakini nimeshuhudia unyanyapaa wa hali ya juu kiukweli najuta kuwa mteja mzuri wa NMB mbaya zaidi kitendo cha kuzuia pesa kimenipa hasara kubwa na usumbufu sana kila nikimuona mtumishi wa benki hiyo napata hasira kuu mbaya zaidi wao wanaona ni kitu rahisi sana.Leo yamenikuta nimekwenda kwenye ATM moja katika jiji la Mwanza na kutaka kutoa shs.400000/=ajabu pesa haijatoa wala hata risiti pia haijatoka lakini nimetumiwa meseji kwamba nimetoa kiasi hicho cha fedha kuangalia salio nikaona wamekwisha kata pesa! Mbaya zaidi nilikuwa na dharura ambayo kukosa pesa hizi kumenifanya nipate hasara kubwa. Swali langu je, nikifungua madai kutokana na usumbufu nilioupata nitakuwa na cause of action? Au njia gani ya kunirudisha nilipokuwa? Au ni halali kwa bank kujifanyia wapendavyo katika kutunza pesa za mteja? Je, pesa yangu ipo salama?