namba force
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 758
- 434
Wadau nimesahau namba yangu ya Akaunt tajwa hapo juu kila nikiomba nijisajir upya inagoma na bank wamechemka nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Una maanisha namba ya Siri au namba ya account yako ya NMB?
Okeee, wapo humu jf wanaweza kukusaidia.
Renew connected sim card,Wadau nimesahau namba yangu ya Akaunt tajwa hapo juu kila nikiomba nijisajir upya inagoma na bank wamechemka nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kwenye uzi wao..NMB specia thread. Au badili namba ya simu unayotumia..Kuna form utajaza
Renew connected sim card,
NMB mobile itachoka halafu ukasajili upya.
Jaribu Tena kurudi bank
Mimi Leo nimesaidiwa hili tatizo na ninaendelea kuitumia
Kuna form wamenipa nimejaza haijachukua hata dk 10 kutatua tatizo langu
Sent using Jamii Forums mobile app
...NMB ni vyema mkaja huku kujibu maswali na dukuduku za wateja, vinginevyo uzi huu hauna sababu ya kuwepo!
Sent using Jamii Forums mobile app
msaada...mm ni miongoni mwa wanachama wa benk ya nmb,naomba kufahamishwa kuhusu biashara ya kununua na kuuza fedha za kigeni katika benk ya NMB...natamani siku moja kama itawezekana nifanye biashara hii.Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Asante shida ilitatuliwaJaribu Tena kurudi bank
Mimi Leo nimesaidiwa hili tatizo na ninaendelea kuitumia
Kuna form wamenipa nimejaza haijachukua hata dk 10 kutatua tatizo langu
Sent using Jamii Forums mobile app