mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,688
NMB samahani kwa usumbufu nilikuwa natumia app yenu ya NMB click kama miezi miwili imepita hivi ila siku ya leo nilivyoifungua ikaniambia niiupdate sasa nilivyoiupdate nikasign in kutumia namba yangu ya simu ileile na Nmb pin ileile ila haifunguki inaniambia Use your original sim card kama inavyojionesha kwenye picha mnaweza kunisaidia kwa hili...???Karibu kufungua NMB Chap Chap Account, piga *150*66# na fungua akaunti sasa. Karibu Sana