Tupieni Jicho pale goba kwenye duka lenu kuna mdada mmoja hivi yeye hajali foleni nikubwakiasigani,anaondoka nakuacha wateja kibao wakilalamika yeye anadai ananjaa ,kisha anawasha mark2 grand mpaka goba center unamkuta napigastory namijamaa tu namiuniform yake
 
Hivi unaweza kufungua akaunti 2 katika bank moja? Nina akaunti NMB ila unataka niongeze nyingine kwa ajili ya maswala ya betting tu, nimeona naingiza pesa nzuri kwa hiyo kazi
 
NMB msipobadilika ipo siku mtawatafuta wateja mpaka chooni hasa kwenye kitengo au idara ya mikopo kuanzia matawini hadi huko Makao Makuu. Huyo afisa anayechunga mikopo (Loan monitoring Ofisa) huwa anachelewesha sana kujibu wateja wanaotaka kulipa mkopo (kuurudisha) hasa wakati mkopo umesharudishwa hivyo kupata clearance letter inachukua zaidi ya wiki moja hadi 2. Kwa kweli hiyo sio sawa, kwa mteja ambaye amefanyiwa hivyo hawezi kurudi tena kwenu mjirekebishe, hasa ukizingatia kuna ushindani wa hali ya juu. Lakini kama anapata huduma nzuri kuanzia wahudumu wa idara husika mpaka juu anaweza kurudi tena. Badilikeni CEO chunguza idara yako hiyo ni idara nyeti sana kwa ustawi wa benki.
xasd as rsas as sw as as aa as aszqsassSasqqsdasssde ASA kka as re SD as r as qsskwewsde GH
 
Naitaji kufungua akaunt ya muda maalumu na nianze na mtaji wa milioni mbil je kila mwezi itazaa sh ngap?
Hii pia ni shida yangu.. Nilisikia kwenye redio kuna fixed account NMB ambayo inazalisha 9% ya pesa yako annually.. Hii fixed account unaweka pesa kwa miaka miwili nadhani NMB naomba ufafanuzi
 
Mimi napendekeza mpunguze makato ya kuhamisha pesa kwa njia ya nmb mobile maana Vodacom wanakata ukianza tu kufanya transaction pia ninapoitoa pesa inanibidi Tena nitoe kwa mpesa Napo Kuna makato tuangalie kwa hili sisi tuliopo mazingira yaliyo mbali na ATM machine tunapata tabu sana
 
Mimi napendekeza mpunguze makato ya kuhamisha pesa kwa njia ya nmb mobile maana Vodacom wanakata ukianza tu kufanya transaction pia ninapoitoa pesa inanibidi Tena nitoe kwa mpesa Napo Kuna makato tuangalie kwa hili sisi tuliopo mazingira yaliyo mbali na ATM machine tunapata tabu sana
Nakushauri ubadili namba, tumia airtel in free kabisa kutumia NMB Mobile. Hao voda washenzi kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: lnx
Hii pia ni shida yangu.. Nilisikia kwenye redio kuna fixed account NMB ambayo inazalisha 9% ya pesa yako annually.. Hii fixed account unaweka pesa kwa miaka miwili nadhani NMB naomba ufafanuzi
Kuna jamaa kaniambia kila mwezi unapewa 9% yako mfano nikiweka milioni 2 napata 180,000/= kila mwezi je ni kweli ?
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.


Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:


Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.


4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom


Naomba ufafanuzi kidogo kuhusiana na huduma zenu Mimi in mtumishi Mwl nlikua na mkopo nlikopa 2015 sasa wiki iliyopita nikaenda kufanya topup nikaambiwa naweza kopa milion 6 na makato yakawa 146,000/= kwa mwezi na napata 2,900,000/= baada ya makato yote lkn Leo wananipigia wanasema kuna mabadiliko naweza kopa milion 4 na makato yatakua 106,781/= baada ya kila kitu napata 1,090,000/= Naomba kufahau ndio utaratibu wenu mpya au ni wa eneo nililopo tu? Ahsante kazi njema!
 
NMB naomba majibu ya haya mambo yafatayo! Ninataka kufungua akaunti ya kapuni ila ofisi zangu ziko moro mimi naishi shinyanga na mkurugenzi mwenzangu anaish mbeya wa mbeya kanitumia dokument zake zote zipo,na mm zangu zipo sasa nambiwa huyu wa shinyanga hawez fungua mpk ile barua ya mtendaji iliyomtambulisba wa mbeya itumwe na benk na siyo kutumwa na basi mm nkaipokea hapa
 
NMB KLINK NI APP MPYA NA YAKISASA? INAHITAJI SIM ILIYOSAJILIWA NMB MOBILE IWEPO (SIO TATIZO) ILA SIM HIYO NDIYO ITUMIKE KWENYE DATA! NI TATIZO KUBWA WASOMI HAMJALITAMBUA (SEHEMU ZINGINE UMAKUATA LAIN ULIYOSAJI MTANDAO HAKUNA. CAN YOU FIX IT?
 
77 Reactions
Reply
Back
Top Bottom