Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,377
- 3,556
Nilitaka Kuuliza Swali Ila NMB-TANZANIA Hawajibu Maswali Ya Wadau!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisha omba jaribu kuangalia salio lako...Nina shida moja,nikiomba salary advance sipewi na cjui 7bu.
Inawezekana hata acc. mpaka 4Hivi unaweza kufungua akaunti 2 katika bank moja? Nina akaunti NMB ila unataka niongeze nyingine kwa ajili ya maswala ya betting tu, nimeona naingiza pesa nzuri kwa hiyo kazi
xasd as rsas as sw as as aa as aszqsassSasqqsdasssde ASA kka as re SD as r as qsskwewsde GHNMB msipobadilika ipo siku mtawatafuta wateja mpaka chooni hasa kwenye kitengo au idara ya mikopo kuanzia matawini hadi huko Makao Makuu. Huyo afisa anayechunga mikopo (Loan monitoring Ofisa) huwa anachelewesha sana kujibu wateja wanaotaka kulipa mkopo (kuurudisha) hasa wakati mkopo umesharudishwa hivyo kupata clearance letter inachukua zaidi ya wiki moja hadi 2. Kwa kweli hiyo sio sawa, kwa mteja ambaye amefanyiwa hivyo hawezi kurudi tena kwenu mjirekebishe, hasa ukizingatia kuna ushindani wa hali ya juu. Lakini kama anapata huduma nzuri kuanzia wahudumu wa idara husika mpaka juu anaweza kurudi tena. Badilikeni CEO chunguza idara yako hiyo ni idara nyeti sana kwa ustawi wa benki.
Hii pia ni shida yangu.. Nilisikia kwenye redio kuna fixed account NMB ambayo inazalisha 9% ya pesa yako annually.. Hii fixed account unaweka pesa kwa miaka miwili nadhani NMB naomba ufafanuziNaitaji kufungua akaunt ya muda maalumu na nianze na mtaji wa milioni mbil je kila mwezi itazaa sh ngap?
Nakushauri ubadili namba, tumia airtel in free kabisa kutumia NMB Mobile. Hao voda washenzi kabisa.Mimi napendekeza mpunguze makato ya kuhamisha pesa kwa njia ya nmb mobile maana Vodacom wanakata ukianza tu kufanya transaction pia ninapoitoa pesa inanibidi Tena nitoe kwa mpesa Napo Kuna makato tuangalie kwa hili sisi tuliopo mazingira yaliyo mbali na ATM machine tunapata tabu sana
ulishajaza fomu mkuu?Nmb mbona hamleti mashine za mawakala kwann??
Kuna jamaa kaniambia kila mwezi unapewa 9% yako mfano nikiweka milioni 2 napata 180,000/= kila mwezi je ni kweli ?Hii pia ni shida yangu.. Nilisikia kwenye redio kuna fixed account NMB ambayo inazalisha 9% ya pesa yako annually.. Hii fixed account unaweka pesa kwa miaka miwili nadhani NMB naomba ufafanuzi
Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Karibu kufungua NMB Chap Chap Account, piga *150*66# na fungua akaunti sasa. Karibu SanaNahitaji kufungua account ambayo ntakua nafanyia savings je inaitwaje?
karibu Makuku tukusaidieNilitaka Kuuliza Swali Ila NMB-TANZANIA Hawajibu Maswali Ya Wadau!