Poluyakhtov
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 353
- 296
Tawi lenu la NMB Wami hapo Morogoro mjini ni janga.Huduma wanatoa kwa kujitakia.Mteja anakaa foleni masaa matatu,akifika kwa mhudumu anaambiwa mstari aliopo si sahihi arudi nyuma.Hakuna wa kuelekeza.
Pia kuna wahudumu wanafanya kazi kwa kujitakia, anahudumia mteja mmoja, halafu anaanza soga ilhali kuna wanaosubiri.
Pia,kwa sababu za kufahamiana tu kuna watu wanapitiliza bila kusimama foleni na kwenda kuhudumiwa.
Pia kuna wahudumu wanafanya kazi kwa kujitakia, anahudumia mteja mmoja, halafu anaanza soga ilhali kuna wanaosubiri.
Pia,kwa sababu za kufahamiana tu kuna watu wanapitiliza bila kusimama foleni na kwenda kuhudumiwa.