Tawi lenu la NMB Wami hapo Morogoro mjini ni janga.Huduma wanatoa kwa kujitakia.Mteja anakaa foleni masaa matatu,akifika kwa mhudumu anaambiwa mstari aliopo si sahihi arudi nyuma.Hakuna wa kuelekeza.

Pia kuna wahudumu wanafanya kazi kwa kujitakia, anahudumia mteja mmoja, halafu anaanza soga ilhali kuna wanaosubiri.

Pia,kwa sababu za kufahamiana tu kuna watu wanapitiliza bila kusimama foleni na kwenda kuhudumiwa.
 
Huu ukurasa wenu wa facebook mlifungua wa nini? Yaani mteja anauliza swali kwenye ukurasa wa facebook anajibiwa aulize tena kupitia whatsapp! Maajabu gani haya?

Kwa nini asijibiwe waziwazi kwani huduma hizi ni siri?

Hamtaki kutaja hadharani maana huwa mnatupandishia makato kimya kimya bila kututaarifu.

Screenshot_20210324-121040_Facebook.jpg
View attachment 1733177
View attachment 1733180
 
Sasa hapa umekuja kuwashtaki? Ungewafuata huko WhatsApp walikokuelekeza ungekuta ushatatuliwa shida yako.

Au tukutafutie mkalimani?
 
Sasa hapa umekuja kuwashtaki? Ungewafuata huko WhatsApp walikokuelekeza ungekuta ushatatuliwa shida yako.

Au tukutafutie mkalimani?
Wala siyo mimi ila nlisoma tu comments zao.

Ila pia kumbka usipowasemea wenzako siku zamu yako ikifika pia hutopata wa kukusemea.
 
bado riba ya mikopo kwa watumishi wa umma ni kubwa sana.

Hii Bank ilipaswa haswa iwasaidie watumishi kwa kuwa mishahara yao inapitia hapo.
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.

Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1.
Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Naomba kujua vipi vigezo muhimu vya kufungua a/c
 
punguzeni Riba kwa watumishi wa Umma, bado Riba ni kubwa sana, pia wapeni mikopo ili wajikwamue kiuchumi.

ingieni mikataba na wafanya biashara wa magari ili wakopeshwe magari kupitia mishara yao kama ilivyo kwa wabunge.

jifunzeni kwa wengine.
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.

Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1.
Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Mankato tuu tatizo kwangu
 
Habari Nmb bank Tanzania ,

Naomba kujua kuhusu fixed account ..naomba ntolee mfano ,nikitaka kufungua fixed account nkaweka 5milions (5000,000) Baada ya mwaka itongezeka faida ya sh ngap

Nimeskia skia kuwa kuna rate kati ya 5% to 7.5% per year so nataka nipate jibu la uhakika kutoka kwenu

Asanteni
 
Habari za usiku
Hivi NMB mmetosheka na wateja sasa eeh
Ni miezi sita sasa nahangaika jinsi ya kurudisha NMB mobile account kila nikifika pale Mlimani City naambulia kuandika barua kisha nikiwapigia customer care wanasema haijawa uploaded.

Hii labda kwa sababu mimi sio mfangakazi wa serikali kwa maana umma.

So naomba mniruhusu nikatoe pesa yangu nihamie kwa wengine

Nakumbuka siku naenda pale Ilala kufungua account niligombaniwa nilijiskia faraja sana ila sasa hivi nikiwa na shida ya kurejesha mobile service inashindikana halafu sasa nilishaizoea.


Ahsante
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.

Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1.
Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Naomba kuuliza sisi watumiaji wa iPhone tutapata lini huduma ya NMB mobile app?
 
Tangu jana nafatilia mkopo branch yenu bank house nyaraka zote ninazo kama muaniriwa ila naambiwa hakuna network cjui inarud lini?
 
Habari za usiku
Hivi NMB mmetosheka na wateja sasa eeh
Ni miezi sita sasa nahangaika jinsi ya kurudisha NMB mobile account kila nikifika pale Mlimani City naambulia kuandika barua kisha nikiwapigia customer care wanasema haijawa uploaded.

Hii labda kwa sababu mimi sio mfangakazi wa serikali kwa maana umma.

So naomba mniruhusu nikatoe pesa yangu nihamie kwa wengine

Nakumbuka siku naenda pale Ilala kufungua account niligombaniwa nilijiskia faraja sana ila sasa hivi nikiwa na shida ya kurejesha mobile service inashindikana halafu sasa nilishaizoea.


Ahsante
Mkuu huo mchakato unatakiwa kaufanyie kwenye ATM ya NMB kama utakuwa ulijiunga na huduma ya NMB mobile hauhitaji kujaza form unaenda ATM TU unachomeka kadi yako kisha
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.

Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1.
Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
NMB nimeprocess mkopo hii wiki ya 4 bado sijawekewa na niliambiwa ni ndani ya saa masaa 48. Kwanini nyie sio wakweli?

Muda wote huu ningeshahamishia mshahara wangu CRDB na mkopo ungekuta nimeshapata. Nimechoka nataka nikaubatilishe
 
Back
Top Bottom