Hata mimi najua hivyo mkuu.Tatizo la kimtandao nadhani
yeah...badae huenda ikawa sawaHata mimi najua hivyo mkuu.
hivi wewe unafanya kazi gani na ni kitengo gani?Wadau Nakolokocha Nmb Mobile Hapa Kucheki [HASHTAG]#Salario[/HASHTAG] Nimeletewa Maandishi Haya [HASHTAG]#externalapplicationdown[/HASHTAG] Yana Maana Gani? Naelekea Kunako [HASHTAG]#Longchairs[/HASHTAG]
Labda wewe ni tajiri, maana hiyo ni benki ya makabwelaWadau Nakolokocha Nmb Mobile Hapa Kucheki [HASHTAG]#Salario[/HASHTAG] Nimeletewa Maandishi Haya [HASHTAG]#externalapplicationdown[/HASHTAG] Yana Maana Gani? Naelekea Kunako [HASHTAG]#Longchairs[/HASHTAG]
Vp wamekupiga hela?Leo jumatatu nawapigia hampokei tens, ngojea niwaibukie huko ofisini kwao baada ya shughuli zangu.Poor u NMB na nimejifunza , sirudii tena Huduma yenu ya nmb mobile.
Anarudisha kwa muda gani?? Kama anarejesha fedha kidogokidogo kila mwezi na ametaka miaka mingi kwann riba isiwe kubwa??Hawa jamaa nimewavulia kofia, kuna jamaa kakopa 10m eti anatakiwa arudishe 17m! NMB mungu anawaona.
Duh pole sana! Walahi mie wangezirudishaNMB hamna mfumo mzuri na salama wa kuchukua fedha kutoka kwenye mashine zenu za ATM, hii imepelekea kuwasababishia hasara ya kupoteza fedha baadhi ya wateja wenu mmoja kati yao nikiwa mimi mwenyewe nilie poteza fedha kiasi cha shilingi laki mbili kutokana na matatizo ya kiufundi mashine zenu
Pole sana mkuu ila wateja huwa hawafanani aisee nenda sehemu yoyote siku zote watu wanaodeposit hela nyingi huwa wanakuwa na dirisha lao tena hii inasaidia hata kupunguza foleni imagine mtu anaweka laki moja akae kwenye foleni kumsubiria mtu anahesabiwa milioni ishiriniMimi kero yangu kubwaaaaaaaaaaa tena kubwaaaaaaaaaaaaaaa hasa na huwa inanifanyaga nitapike nikiona hiki kitendo na hutokea mara nyingi sana.
Ukiwa kwenye foleni basi akija mtu ambaye anaonekana ana pesa sana , au sijui ndio mteja mungu, yaani atapapatikiwa na huondolewa kwenye foleni kama anaslip yake wataichukua, na kwenda kumuhudumia upande wa ndani , mwenzangu na mm niliokuja nimevaa gagulo na makata mbunga nitakesha na foleni.
Je ni kwamba nyie mnahudumia watu kwa status zao au kujuana nao au, maana hili swala hunikera sana , na to be honest nikirudi tena nikikutana nalo natoa hela zangu zoteeeeeeeeeeeeee nahama bank na kama amuamini siku nikikutana nalo, nitawaDM kabisa nawapa na jina langu kama hamtakuta acc inasoma 0000000.
Kama mnahudumia watu hudumieni kwa usawa na haki, isionekana watu wanahudumiwa kwa matabaka, coz kila anayekuja pale hamna mwenye haraka, waambieni hao waanyakazi wenu hasa vidada.
Kingine ni hilo swala la kupewa hela chafu, au unadraw unaomba upewe elfu kumikumi, unaambiwa hamna, nikalazimishwa kuchukua buku buku tena chafu eti kumi kumi hamna kidogo nimtemee mate kala kadada.