Aisee noma sanaHuo mchezo upo sana tena sana na sio NMB peke yake lakin NMB ndio wamezidisha nimesha wahi kukutana na hilo sakata nakwambia lakin kwa vile nilijua mchezo huo nilikomaa na yule bwana mdogo nikamwambia aisee huo mchezo naufahamu tutaharibiana kazi jamaa yangu mimi najua kuhesabu na ikabla ya kuja hapa nimejiridhisha mara kadhaa nikiamin huwa kuna sababu kama hizo huku na kweli imetokea ,ninahakika kabisa pesa hazijapungua hizo hesabu tena aisee basi kwa nilikuwa nimesha ona nikajifanya natizama pembeni makusudi ili nimpe chance arudishe
Nilipo rudisha kichwa akajifanya ngoja basi tuhesabu tena maana sijazichanganya bado basi kuzihesabu ikatimia ile pungufu ya laki 4 na 30 ikarudi akajifanya oohh! Ndio maana kuna wakati huwa tunaona bora tuhesabu kwa mikono yetu hizi mashine bwana zina matatizo wakati fulan na mie nkajifanya kumpa pole kuwa huwa zinachoka nazo , wakati kumbe alizikwapua , benk si sehwmu salama kabisa kwa sasa tena kama NMB wafanye reform huko wamejaa vibaka.
Aisee 800 parefu ningekua mzazi sijui ningekuelewaje?Toka mmeniibiaga na mobile bank yenu nikapigwa laki 8 yangu ya ada baba akaniona mwizi mpaka leo . nawafata pale mwanza mnaniambia habari za kufungua kesi wakati pesa iko kwenu naa apa mimi na kizazi changu kuto kutumia bank yenu na wala kuomba kazi kwenu yaanii I hate this bank sijui
Ila kazi njema but this technology mnapoleta muwe mnakuwa kin sana kwa kuitest before haijamfikia mlaji but kiukweli mlinihalibia sana nikaishi maisha ya chuo mahumu mzee haelewi anajua. Nimehongaa
Pantaloo genius
Hapo nilishakutana na majibu mpk leo sitapasahau...yaan kwa kero hizi zote zilizoelezwa na wadau mie pia zimenitokea sehem mbalimbali ila kuna dada mmoja apa Tanga tawi la madaraka ana nywele za kipilipili kweli kabisa kama una roho ndogo unaweza mlamba makofi alivyo na dharau,nilitaka kufungua account pale cha ajabu aliikataa barua ya mwajiri wangu na kunipa fomu akapitishe mtendaji wa kijiji eti ndio utaratibu wenu,mko kizamani sana,nikabidi nifungue CRDB,badilikeni acheni kuendesha benk kichama chama.
Hacha uongo nmb mbarali atm zao zipo vizuri sanaaaaa,,,,kama uongo njoo lugelele hapaNMB Mbarali,wanalazimisha watu wakachukue hela mtaani kwa wakala wao,huku wakiwa wameharibu ATM machine zao makusudi!
NMB acheni kufanya biashara kwa mazoea,halafu nyinyi wafanyakazi acheni ushamba wa kujiona mmesoma kuliko wateja wenu,kiufupi uwezo wenu ni mdogo ndomana mmeajiliwa,mngekua na akili mngefungua miradi yenu ili msaidie ndugu zenu vijijini.
Kweli kabisa mkuu, wafanyakazi wa NMB Bank . Wanazingua sana, inafikia kipindi unaogopa hata kuwa na izi mobile bank . Maana wanaweza Wakaamisha hata pesa awaNMB Mbarali,wanalazimisha watu wakachukue hela mtaani kwa wakala wao,huku wakiwa wameharibu ATM machine zao makusudi!
NMB acheni kufanya biashara kwa mazoea,halafu nyinyi wafanyakazi acheni ushamba wa kujiona mmesoma kuliko wateja wenu,kiufupi uwezo wenu ni mdogo ndomana mmeajiliwa,mngekua na akili mngefungua miradi yenu ili msaidie ndugu zenu vijijini.
Jaribuni kuwa na huduma nzuri kwa wateja sio mteja mnamzungusha mpka anaamua kuwahama kwenda benk nyingineNdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Hawa jamaa nimewavulia kofia, kuna jamaa kakopa 10m eti anatakiwa arudishe 17m! NMB mungu anawaona.Naomba kuelimishwa kuhusu riba/interest za kwenye hizi benki zetu Tanzania hasa NMB yaan leo nimejaribu kwenda kurequest mkopo wa 7,500,00 naambiwa ntalipa milioni 13,600,00 wakati huo huo tunaambiwa riba ni 22% ni calculation za uchumi, wizi, unyonyaji au ni kitu gani?
Hawa jamaa nimewavulia kofia, kuna jamaa kakopa 10m eti anatakiwa arudishe 17m! NMB mungu anawaona.[/QUOTE