meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
kumekuwa na katabia kanachofanywa na NMB wakishirikiana na hazina kuchelewesha mishahara ya watumushi wa umma kwa kuwa wanapitishia mishahara yao bank tofauti na NMB.
Huu ni mwezi wa tatu au nne tumeshuhudia wafanyakazi wakipewa mishahara katikati ya mwezi unaofuata bila maelezo ya kuridhisha.
Huu ni mwezi wa tatu au nne tumeshuhudia wafanyakazi wakipewa mishahara katikati ya mwezi unaofuata bila maelezo ya kuridhisha.