Namba nne zinatengeneza 10,000 combinations na kama hiyo system imetengenezwa kwa standards itakataa kupokea namba baada ya kukosea mara kadhaa kama sim card inavyojilock ukikosea mara tatu.
Sijui NMB lakini kwenye experience yangu ATM pin ya cadi hauchagui mwenyewe, kadi inakuja na PIN yake kwenye secure envelope, hii inaondoa uwezekana wa mtu kuweka birthyear au namba rahisi kama 1111, 2222.
weng wenu naona mnabsha bila kufanya uchungz ila mjue ukiacha kad ovyo nikaweza pata ac no. Ur name na hzo tarakm tano za mwisho kwenye kad yak imekula kwako na ucje laum huktarfiwa okNi kweli kabisa Mkuu.Mwanzisha thread anapaswa "kutunga" story inayokaribiana na ukweli, siyo hiyo aliyotuwekea.
do u knw what is atm pin no. Ndo hzo tarakm nazokwambia
A personal identification number (PIN, pronounced "pin") is a secret numeric password shared between a user and a system that can be used to authenticate the user to the system.
Ulishaambiwa kuwa password imeibiwa, usichoelewa kipi hasa?kwani nmb mobile haina password..
<br />Jamani sasa transaction si inaonesha ac gani imepokea hiyo pesa hackers hafanyi hiyo shughuri baana,fuata taratibu the utapata ur tsh bro
Namba nne zinatengeneza 10,000 combinations na kama hiyo system imetengenezwa kwa standards itakataa kupokea namba baada ya kukosea mara kadhaa kama sim card inavyojilock ukikosea mara tatu.
Sijui NMB lakini kwenye experience yangu ATM pin ya cadi hauchagui mwenyewe, kadi inakuja na PIN yake kwenye secure envelope, hii inaondoa uwezekana wa mtu kuweka birthyear au namba rahisi kama 1111, 2222.