Wakuu naomba kama kuna mtu ambye anafahamu jinsi ya kujiunga na nmb mobile bila kufka katka taw lolote la nmba naomba anisadie
natanguliza shukran zangu kwenu
Hiyo huduma ni lazima kwanza ukasajiliwe kwenye bank husika yaani branch ya bank husika huwezi kutumia mpaka uende bank kuomba kuunganishwa mkuu
Wakuu naomba kama kuna mtu ambye anafahamu jinsi ya kujiunga na nmb mobile bila kufka katka taw lolote la nmba naomba anisadie
natanguliza shukran zangu kwenu
Hii huduma mbovu sana mwezi jana nilituma ela transaction ikawa aborted nikajaribu tena haikukamilika kuangalia salio nikaona kiasi kimepungua mara mbili na sikupata sms wala niliyemtumia nae..jana nikatuma ela mpaka leo hakuna ujumbe wowote unao onesha kua muamala umekamilika.
Hii huduma mbovu sana mwezi jana nilituma ela transaction ikawa aborted nikajaribu tena haikukamilika kuangalia salio nikaona kiasi kimepungua mara mbili na sikupata sms wala niliyemtumia nae..jana nikatuma ela mpaka leo hakuna ujumbe wowote unao onesha kua muamala umekamilika.
Acha kutoposha watu, hakuna huduma bora kama za NMB Mobile. Jiunge sasa kupitia ATM yoyote ya NMB iliyoko karibu na wewe.
Acha kutoposha watu, hakuna huduma bora kama za NMB Mobile. Jiunge sasa kupitia ATM yoyote ya NMB iliyoko karibu na wewe.