Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,393
- 5,518
Wakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.