NMB Mkononi ina shida gani..?

Clark boots

JF-Expert Member
Jun 5, 2017
6,393
5,518
Wakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.
 
Wakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.
Hua sipendi dharau kama hizi
 
Wakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.
Nanukuu"hela ya mboga kidogo kama 400k" uchumi wa katitujitahidi kuchangia tozo ili watoto wa wakulima wasome
 
Wakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.

Mshamba sana we jamaa
 
Maisha haya!!
Mshahara wangu wa miezi miwili kwa mwingine ni hela kidogo ya mboga! Ngoja tuendelee kupambana.
 
Wakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.
Kunasikuutapigwa ela ukae miezi 2 ndoujue ela ya mboga na nmb mobile vizuri
 
Mi nimefanya malipo ya serikali kupitia Simbanking ila hadi sasa hivi sijapata sms.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom