... Kiongozi pole; najua namna gani inakera unapokosa huduma ya kujipatia vijisenti vyako pale unapokuwa na dharura; inakera kweli kweli. Kwa ujumbe ulioandika, most likely tatizo sio mtandao wa NMB, tatizo huna salio kwenye akaunti yako ya mtandao unaotumia; si unajua tena mambo ya tozo? Kwa kila transaction unayofanya lazima serikali ipate chake na inakipatia kutoka kwenye salio la kawaida kwenye simu yako. Kama salio halipo hupati huduma.Tangu Ijumaa mpaka leo mtandao haufanyi kazi upande wa mobile money unaandika hakuna huduma kwa sasa jaribu baadae.
Nani ana experience tatizo kama hili?
Si hao tu Mimi CRDB wameniharibia siku leo.Tangu Ijumaa mpaka leo mtandao haufanyi kazi upande wa mobile money unaandika hakuna huduma kwa sasa jaribu baadae.
Nani ana experience tatizo kama hili?
Kama una mastercard au visa card na airtel money toa via airtelmoney appTangu Ijumaa mpaka leo mtandao haufanyi kazi upande wa mobile money unaandika hakuna huduma kwa sasa jaribu baadae.
Nani ana experience tatizo kama hili?