NMB inaelekea wapi

Biohazard

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
2,197
1,459
Duu hii kitu imeniumiza sana, NMB ni Benki ya watu wa hali ya chini cha ajabu Inatoza shilingi 1000 kwa anaye Deposit pesa kwenye akaunti ambayo sio ya kwake, Ikiwa na maana anayekatwa pesa ni yule unaemuingizia hiyo pesa. Hata kama unadeposit shs 2000 basi pasu pasu na Benki.
Najiuliza:
1. Je hii ni haki kweli?
2. Je mmiliki wa NMB sahizi ni nani?
3. Je hiyo 1000 inakatwa kodi au ndo makada wanazidi kuwalalia wanyonge?
 
Ni kweli hili tozo siyo la haki. Lakini NMB walitoa matangazo na kutoa vipeperushi kuhusu uanzishwaji wake na wateja, kama kawaida yetu waTZ, tukakaa kimya. Nashauri wateja wote wa NMB wanaochukizwa na hili watueme e-mail, sms, barua, n.k. kwa uongozi kueleza kuchukizwa na tozo hili. Wasiposikiliza tutajua lingine la kufanya. Contact info. iliyo kwenye tovuti yao ni hii:

NATIONAL MICROFINANCE BANK
HEAD OFFICE - NMB HOUSE
AZIKIWE/JAMHURI STREET
P.O. BOX 9213, DAR ES SALAAM, TANZANIA
TELEPHONE: +255(0)22 2161000
Email: info@nmbtz.co
 
Benk zazidi ongezeka ....hivyo tuendako benki itabidi zijifanyie self assessment ili ziweze kuendelea kufanya vizuri! by the way mlipoambiwa NMB ni among the top 10 large Taxpayers in Tanzania mlidhani fedha zinatoka wapi?

Ni kweli hili tozo siyo la haki. Lakini NMB walitoa matangazo na kutoa vipeperushi kuhusu uanzishwaji wake na wateja, kama kawaida yetu waTZ, tukakaa kimya. Nashauri wateja wote wa NMB wanaochukizwa na hili watueme e-mail, sms, barua, n.k. kwa uongozi kueleza kuchukizwa na tozo hili. Wasiposikiliza tutajua lingine la kufanya. Contact info. iliyo kwenye tovuti yao ni hii:

NATIONAL MICROFINANCE BANK
HEAD OFFICE - NMB HOUSE
AZIKIWE/JAMHURI STREET
P.O. BOX 9213, DAR ES SALAAM, TANZANIA
TELEPHONE: +255(0)22 2161000
Email: info@nmbtz.co
 
Ni kweli hili tozo siyo la haki. Lakini NMB walitoa matangazo na kutoa vipeperushi kuhusu uanzishwaji wake na wateja, kama kawaida yetu waTZ, tukakaa kimya. Nashauri wateja wote wa NMB wanaochukizwa na hili watueme e-mail, sms, barua, n.k. kwa uongozi kueleza kuchukizwa na tozo hili. Wasiposikiliza tutajua lingine la kufanya. Contact info. iliyo kwenye tovuti yao ni hii:

NATIONAL MICROFINANCE BANK
HEAD OFFICE - NMB HOUSE
AZIKIWE/JAMHURI STREET
P.O. BOX 9213, DAR ES SALAAM, TANZANIA
TELEPHONE: +255(0)22 2161000
Email: info@nmbtz.co

Mkuu ngoja nifanye hivyo mara moja maana hali ni tete na inaumiza sana ndugu.
 
Back
Top Bottom