Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,459
Duu hii kitu imeniumiza sana, NMB ni Benki ya watu wa hali ya chini cha ajabu Inatoza shilingi 1000 kwa anaye Deposit pesa kwenye akaunti ambayo sio ya kwake, Ikiwa na maana anayekatwa pesa ni yule unaemuingizia hiyo pesa. Hata kama unadeposit shs 2000 basi pasu pasu na Benki.
Najiuliza:
1. Je hii ni haki kweli?
2. Je mmiliki wa NMB sahizi ni nani?
3. Je hiyo 1000 inakatwa kodi au ndo makada wanazidi kuwalalia wanyonge?
Najiuliza:
1. Je hii ni haki kweli?
2. Je mmiliki wa NMB sahizi ni nani?
3. Je hiyo 1000 inakatwa kodi au ndo makada wanazidi kuwalalia wanyonge?