ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,056
- 2,850
Leo siku nzima , najaribu kuwapigia simu huduma kwa wateja simu inaita dk 30 bila kujibiwa. Hao, mliowaajiri hiko kitengo cha huduma kwa wateja kazi yao ni ipi.
Badilikeni, miamala imekwama na watu wanawapigia kupata suluhisho, simu hampokei .Hamjui mnakwamisha shughuli za watu.
Ndio maana kila siku tunaomba Mungu hizi benki za wenzetu nje waendelee kufungua matawi huku mikoani, tuache mbenki wenu ambao upo upo tu.
Badilikeni, miamala imekwama na watu wanawapigia kupata suluhisho, simu hampokei .Hamjui mnakwamisha shughuli za watu.
Ndio maana kila siku tunaomba Mungu hizi benki za wenzetu nje waendelee kufungua matawi huku mikoani, tuache mbenki wenu ambao upo upo tu.