NMB hiyo tozo ya serikali mliyotuma SMS mnakata kwenye account zetu ni kiasi gani, asilimia ngapi?

polokwane

JF-Expert Member
Dec 16, 2018
3,359
5,808
Kuna sms inatumwa na NMB kuwa wanakata tozo ya serikali kuanzia September 8 hadi Oktoba 10 ya miamala cha ajabu hawasemi wanakata Tsh ngapi au asilimia ngapi sasa kupitia hili watu wasije ibiwa pesa zao bank kwa kigezo tozo maana sasa tozo zimezidi.

Mliotumiwa SMS kama hii na mna ufahamu na kinachoendelea tunaomba ufafanuzi.
 
Same to me, tulipe tu hamna namna.

"Bo jamba anayetum sila kukuib (maana unajua amekuzidi nguvu by survival of the fittest) kuliko rafiki ambaye unayemudu" asisikika kijana mmoja muumini wa jambazi.
 
Hata mimi nimetumiwa yaan sms imekaa kiwizi tu kwa hali hii tunajikuta kwenye akaunti hakuna kitu kwa kisingizio cha tozo
 
Wanaibuka ghafla tu from no where aisee hii mitozo sio kabisa
Waziri alishasema tozo zitakatwa sio tuu kwenye simu bali kwenye miamala yote ya kifedha,ilikuwa na suala la kukunariana tuu na Serikali kiwango ndio waanze kufanya
 
Waziri alishasema tozo zitakatwa sio tuu kwenye simu bali kwenye miamala yote ya kifedha,ilikuwa na suala la kukunariana tuu na Serikali kiwango ndio waanze kufanya
Yaan sms inakuja bila kutaja kiasi kinacho katwa wala asilimia zinazo katwa kwakweli huu ni uonevu mkubwa sana kwa wananchi tutatoa pesa zetu maana kwanza kuna makato mengi sana ya bank nanbado tozo aisee mama kaamua
 
Yaan sms inakuja bila kutaja kiasi kinacho katwa wala asilimia zinazo katwa kwakweli huu ni uonevu mkubwa sana kwa wananchi tutatoa pesa zetu maana kwanza kuna makato mengi sana ya bank nanbado tozo aisee mama kaamua
Ukikatwa ndio utakiona maana sio quorta kwamba wakwambie bali makato yatategemea kiwango cha ukubwa muamala utakaofanya.
 
Mama anakuibia huku anakurembulia macho. Hatari sana!

Huku Mwigulu pembeni Dr.Mpango lazima wadanganyika maji muite mmaaa.
 
Back
Top Bottom