NMB Congo Branch - Kariakoo mnatia aibu, mnakatisha tamaa, hamjui mnachokifanya

Chairman Lee

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,352
1,485
Wasalaam ndugu zangu, kama kichwa cha habari hapo juu NMB tawi la Congo Kariakoo, wanatia aibu sana katika nyanja mbalimbali.

kuhudumia wateja slow sana kiasi kwamba unakaa kwenye foleni mpaka unasinzia

Bank Teller wako wawili tu tawi zima, mpaka kusababisha adha ya uwekaji na utoaji wa fedha.

RAI, kwa bank ya Nmb tawi la congo tunaomba marekebisho haraka sana kunusuru biashara na mzunguko wa fedha .

Nawasilisha.
 
Wasalaam ndugu zangu, kama kichwa cha habari hapo juu NMB tawi la Congo Kariakoo, wanatia aibu sana katika nyanja mbalimbali.

kuhudumia wateja slow sana kiasi kwamba unakaa kwenye foleni mpaka unasinzia

Bank Teller wako wawili tu tawi zima, mpaka kusababisha adha ya uwekaji na utoaji wa fedha.

RAI, kwa bank ya Nmb tawi la congo tunaomba marekebisho haraka sana kunusuru biashara na mzunguko wa fedha .

Nawasilisha.
Toa fedha zako huko, bank zikko nyingi zenye huduma bora, haraka na murua kabisa, kwa nini uteseke kwa kupanga feni masaa mengi wakati fedha ni zako mwenyewe
 
Back
Top Bottom