Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,352
- 1,485
Wasalaam ndugu zangu, kama kichwa cha habari hapo juu NMB tawi la Congo Kariakoo, wanatia aibu sana katika nyanja mbalimbali.
kuhudumia wateja slow sana kiasi kwamba unakaa kwenye foleni mpaka unasinzia
Bank Teller wako wawili tu tawi zima, mpaka kusababisha adha ya uwekaji na utoaji wa fedha.
RAI, kwa bank ya Nmb tawi la congo tunaomba marekebisho haraka sana kunusuru biashara na mzunguko wa fedha .
Nawasilisha.
kuhudumia wateja slow sana kiasi kwamba unakaa kwenye foleni mpaka unasinzia
Bank Teller wako wawili tu tawi zima, mpaka kusababisha adha ya uwekaji na utoaji wa fedha.
RAI, kwa bank ya Nmb tawi la congo tunaomba marekebisho haraka sana kunusuru biashara na mzunguko wa fedha .
Nawasilisha.