Kama umesoma vyema waraka na sheria kwa pamoja - Kisheria,BOT hana mamlaka ya kulazimisha taasisi za kifedha kushusha riba kama anavyotaka manake inaweza kupelekea catastrophic collapse of the financial sector nchini,na hata waraka uliotoka BOT upo very optionalKwa hiyo unataka kusema kuwa BOT ni viazi kwa kutoa maelekezo ambayo hawana mamlaka nayo?