Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
- Thread starter
- #41
Sijakusoma!Nimeshakwambia hamna ndoa ya watu WATATU!Mmoja anakua ameolewa ila ana nyumba ndogo iliyohalalishwa...na huyo nyumba ndogo sio mke ni nyongeza tu kwenye tamaa za kibinadamu!Kwahiyo mke ni huyo wakwanza...wa pili ni mziniwa!Hopefully umenisoma sasa!
Labda kwa kusoma vitabu vya dini...
1-uislam unaruhusu ndoa hadi kuoa wake wanne.
2-ukristo nasikia ni ndoa moja...japo sijaona andiko kwenye biblia.
So!
Sijui wanaoa kumfuata nani?
3-wapagani wanachukuana ili mradi wamependana...hawapendani zaidi ya me/ke.
Akizidisha itakua ni ugomvi.
4-serikali yetu inasema haina dini...lakini nawashangaa wanafungisha ndoa ya serikali. Nao ukitia signature itakua ndio huyo huyo.
5-mila inategemea na mila uliopo....nawapenda wamasai...wao wanaoa wake wengi.. ili mradi wanafuata mila. Pia wajaluo nawapenda wao wanaoa wake wengi.
Wapo makabila mengi japo sijafanya utafiti kwa undani.