chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
Mwandishi wetu Robert Misigaro wa BBC Idhaa ya Maziwa Makuu anasema ndege ya Rais Nkurunziza imeshindwa kutua Bujumbura na huenda anaelekea nchini Uganda.
Wakati huohuo kuna taarifa zinadai kuwa Rais Nkurunziza amerejea Dar es Salaam Tanzania baada ya kushindwa kutua Bujumbura.
Chanzo: BBC
My Take: Umma Una Nguvu Na Ndiyo Uliyoweka Mamlaka Yoyote Katika Uongozi Hivyo Wanaweza Kufanya Maamuzi Yoyote Kwa Wakati Wowote, Hili Liwe Fundisho Kwa Marais Wengine Wa Afrika.
Wakati huohuo kuna taarifa zinadai kuwa Rais Nkurunziza amerejea Dar es Salaam Tanzania baada ya kushindwa kutua Bujumbura.
Chanzo: BBC
My Take: Umma Una Nguvu Na Ndiyo Uliyoweka Mamlaka Yoyote Katika Uongozi Hivyo Wanaweza Kufanya Maamuzi Yoyote Kwa Wakati Wowote, Hili Liwe Fundisho Kwa Marais Wengine Wa Afrika.