Sasa ulitaka kila mtu pale aeleze hayo mawazo yako hapo juu ndiyo uone amesema cha maana? Hata mimi nina mawazo yangu ambayo ninaona ni ya maana kwa mustakabali wa taifa letu lakini hayakusemwa pale. Hiyo haifanyi kilichosemwa pale kisiwe na maana.
Hivi nawe ili uonekane umechangia lazima uchukue maneno yako uyaweke kwa mwingine. Hakuna sehemu niliposema presentation yake haikuwa na maana kwa sababu it never captured areas highlighted myself. Nimeonyesha jinsi presentation yake haikuwa na conceptual framework that captures grave circumstances that to me have created a bad shape of our country. Haki aliyotaka kutuonyesha kwa sasa na miaka 50 ijayo si kitu kama mamabo niliyoyaonesha ambayo kwa wazalendo wengi ni maovu (vices) na kwa wachache ni neema maana kwayo wamekuwa matajiri yataendelea kutokea. Unaweza ukaimba haki lakini kama hujaondeoa variable zinazoibaka haki basi haki ya kweli haitakuwepo bali itabaki kwenye makabrasha na imani ya kweli haitakuwepo bali woga na hofu kama ilivyokuwa Tanzania ya leo. Mfano elimu ni ufunguo wa maarifa na maendeleo lakini kama tunaendelea kuwa na elimu ambayo wachache wanapat elimu bora na wachache wanabaki shule za kayumba na wanafika kidato cha nne hawajui kusoma na kuandika na wewe unapewa nafasi kuchangia unashindwa kukapture kitu kama hicho kama kizingiti cha haki basi. Nakubali kila mtu ana mawazo yake lakini on contectual basis kunakuwa na similarities na consistency ambavyo sikuviona katika presenatation ya Mjengwa