Sioni kwanini unahangaika na kutupotezea muda wetu kujadili swala la wewe kusimama mbele ya hadhara na kuongea!Mimi nilidhani ungekuja kujazia yale uliyoshindwa kuyasema pale Nkurumah hall kwa kuwa muda uliopewa haukutosha! sasa kutamani marehemu baba yako angekuwapo kusikiliza upuuzi wako kunatusaidia nini sisi watanzania tulioingizwa katika chuki za kidini na viongozi dharimu wa CCM? Wacha ulimbukeni bwana mdogo eboo!Sinshoo,
Asante sana, lakini sidhani kama kuna ubaya katika kuyaelezea mazingira kama hayo ya mtu alikotokea. Tatizo letu Watanzania huwa tunaona aibu hata kutaja majina ya vijiji tulivyozaliwa au kule wazazi wetu walikozaliwa. Ni hali ya kushindwa kujitambua, kujiamini na kuthubutu.
Ni fikra zangu tu.
Maggid
Sasa huu tuuite wivu,chuki au nini? Kama ule unauita ni upuuzi basi sijui kitu cha maana kwako ni nini.Sioni kwanini unahangaika na kutupotezea muda wetu kujadili swala la wewe kusimama mbele ya hadhara na kuongea!Mimi nilidhani ungekuja kujazia yale uliyoshindwa kuyasema pale Nkurumah hall kwa kuwa muda uliopewa haukutosha! sasa kutamani marehemu baba yako angekuwapo kusikiliza upuuzi wako kunatusaidia nini sisi watanzania tulioingizwa katika chuki za kidini na viongozi dharimu wa CCM? Wacha ulimbukeni bwana mdogo eboo!
Sasa ulitaka kila mtu pale aeleze hayo mawazo yako hapo juu ndiyo uone amesema cha maana? Hata mimi nina mawazo yangu ambayo ninaona ni ya maana kwa mustakabali wa taifa letu lakini hayakusemwa pale. Hiyo haifanyi kilichosemwa pale kisiwe na maana.QUOTE]A
Hongera kwa kuweza kusema kile ulichokisema lakini it's very unfortunate to reveal to us that you made trouble half way. Kabla hujaenda kuelezea mada uliyosema wewe ulishaanza kuogopa na labda ni kwa sababu hukumpa mtu mwenye uzoefu wa uwasilishaji mada ili akusaidie proof reading that could have added value in your presentation. A man is a child of prevailing circumstances na kwa kweli kufanya presentation bila kugusia matukio ya hivi karibuni ya EPA, Richmond, IPTL, RADA, Buzwagi, ununuzi wa ndege ya rais, utoroshaji wa wanyama, uuzwaji wa mbuga ya Loliondo, Meremeta, mauaji ya raia yanayofanywa na jeshi la polisi, utitiri wa shule za kata ambazo watoto wa masikini wanasukumwa na mengine ni kutokuitendea haki mada nzima ya Haki na Amani. Taifa ambalo viongozi wake hawashtuki na kufanya bidaa kuzuia hayo niliyotaja yasije kutokea now and in near and distant future, miaka hamsini unayoiongelea ni ndoto na usanii. Hivi ni vitu tangible na vimetokea na kufanywa na viongozi wetu wakiwa na akili timamu na vina nguvu ya kisheria. Haki itatoka wapi wakati matukio hayo yamebabaka haki za msingi za binadamu. Sijagusia ardhi inayochukuliwa na wageni, madini yanagawiwa bure na Dr. Haji alienelezea vizuri sana. Kwa hiyo wewe na Makamba mlitaka kutufanya watumwa wa historia na kibaya hamkutaka kusema kama yale yaliyofanywa na viongozi waliopita kama walikuwa na purpose, na vision au mission au walikuwa wakifata mood of public na asubuhi wanakurupuka na kuamua kufanya ili kuufurahisha umma kwa muda mfupi ili wapate kutawala
Habari za siku nyingi bwana Sweke! Nasema hivi, hiki alichokiandika hapa ni upuuzi! Yeye alialikwa na kupewa mada ya kuongelea na akaongea watu wakamsikia, wakumukubali walimukubali na waliombeza walimbeza, sasa cha kuja hapa tena na talalila za oh, laiti baba yangu angekuwepo......... kama sio upuuzi ni nini? au tuseme alikuwa hajiamini? By the way, ninini kipya alichokisema pale Nkurumah hall?Sasa huu tuuite wivu,chuki au nini? Kama ule unauita ni upuuzi basi sijui kitu cha maana kwako ni nini.
Ingekua vyema kama ungetuwekea hapa hiyo presentation yako. Pamoja na kwamba si kitu kibaya kuona fahari baada ya presentation "nzuri" uliyofanya; mimi nilitegemea zaidi kutoka kwako...
Labda sababu ni hii hapaYafaa mleta uzi wetu ajiulize mbona mwana JF mahiri ndugu Kitila Mkumbo, alizungumza masuala ya msingi lakini hakuanzisha uzi wa kujielezea kama alivyofanya yeye?
Mara unaleta porojo za kutaka kuchukua maji ya Prof. Mpangala!!Hii ni nini sasa?
Kiu yako ya maji jana inahusiana na chochote kuhusu miaka 50 ijayo kweli?
Hapana.
Wangelijua kuwa Dreams ambazo wewe ulikuwa nazo ndizo uwa zinadrive watu kufanya makubwa!!!Bill Clinton alikuwa Rais wa Marekani kwa ndoto baada ya kumshika mkono aliyekuwa Rais wa USA miaka ya 1960s, Marehemu JF Kennedy pale alipokwenda kutembelea Ikulu ya Marekani kama Mwanafunzi.Vivyo hivyo Obama amekuwa Rais wa Marekani kwa kufuata ndoto za Baba yake ikiwemo ndoto ya matamanio pale nae alipotembelea Ikulu ya Marekani miaka ya 1980s.Hizo dreamz ukiziweka huru ndio ukamilifu ambao wanao watanzania wachache.Wababaishaji watu wasiojiamini hawawezi kusema hisia na ndipo unafiki unapochukua sura yake.Na wana siasa wengi ndani ya Taifa letu sio wasema hisia zao,kwa kuwa kusema kwao hisia zao nikujionyesha kuwa wanamapungufu,na kumbe mapungufu ndio ukamlifu kama viumbe wenye uhai.Sinshoo,
Asante sana, lakini sidhani kama kuna ubaya katika kuyaelezea mazingira kama hayo ya mtu alikotokea. Tatizo letu Watanzania huwa tunaona aibu hata kutaja majina ya vijiji tulivyozaliwa au kule wazazi wetu walikozaliwa. Ni hali ya kushindwa kujitambua, kujiamini na kuthubutu.
Ni fikra zangu tu.
Maggid
wewe ndo umeamua kuandika nini? au ndo U-GT?.........aisee, can't you share your achievement, memories and fun to your fellows?............read between lines GTMjengwa hapa umeelezea furaha yako lkn sio kile ulichoelezea its pity kuelezea your private ktk Natioanal Dialogue of Next 50 years Is not about you! Maggid is about Tanzanian Sorry kuteleza~!
Kwa wale tuliokuwepo tuliona ulikuwa wa kawaida 2 na mimi sikushangaa kumwona maggid mjengwa kuwa ni mmoja wa waalikwa kwenye kongamano kama hilo.Cha kushangaza ni jinsi ulivyojiexpress hapa kuwa umelichukulia hilo tukio kama vile hukustahili! Nakushangaa majjid kwa sababu wewe una media attention.Je tungekuwa akina sisi ambao jf na mitandao mingine ya kijamii ndo inayotutambia ingekuwaje kwa mtazamamo wako? Mi nadhani kongamano hilo yeyote anayejua kuongea angeweza kuwa msemaji kwa sababu watanzania wote tuko sawa tu na wala usichukulie kwamba kilikuwa ki2 pecurior saaana