double click
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 569
- 945
Mie ni kijana wa kiume Mwenye umr wa Miaka 23 nna mpenz ambao ana miaka 22. Huyu mpnz Wng Yupo masomon Arusha na mm nko Morogoro
Anakudharau huyo.Na kinachokuuma sio kwa sababu una mpenda sana ila gharama unazoingia mfukoni cha kufanya na tafuta chapembeni uwe unajimegea kamwe hutakaa ukasikia uchungu wala kuumia roho.Fanya hivyo sasa hivi
Anakudharau huyo.Na kinachokuuma sio kwa sababu una mpenda sana ila gharama unazoingia mfukoni cha kufanya na tafuta chapembeni uwe unajimegea kamwe hutakaa ukasikia uchungu wala kuumia roho.Fanya hivyo sasa hivi
Dalili ya mvua n mawingu, na dalili ya mpezi kukuchoka ni dharau umeni soma dogo?
Piga chini iyo k si yako tena kuna mdau anamega shituka mkuu
Fimbo ya mbali haiui nyoka! Waliokaribu na mpenzi wako wanatumia fimbo kuua nyoka pangoni iliyobaki ujipange tu watu wanakusaidia kumpa dushelele.
ukikua utajua
Tafuta demu mwingine alafu anza na wewe dharau mwanzo mwisho.