NK yazindua mamia ya magari mapya kama ishara ya kudogesha vikwazo

King0001

JF-Expert Member
Oct 31, 2017
200
285
Korea ya Kaskazini imefanya parade ya matrekta mapya na malori ya mizigo katika eneo la Kim Il Sung Square.

Uonyeshaji wa magari hayo kwa jumuia ya kimataifa ni ishara Korea ya Kaskazini inatuma kwa Jumuiya ya kimataifa kuhusu uwezo wake wa kuhimili vikwazo vikubwa vya kiuchumi.

Waziri Mkuu wa Korea Kaskazini Pak Pong Ju alisema katika sherehe ya uzinduzi wa magari hayo "hii inaonyesha wazi kwamba hakuna mtu anayeweza kutuzuia kusonga mbele" katika sayansi na teknolojia.

Rodong alisema, "Pamoja na mtu mwingine yeyote, adui anajua maana ya uzalishaji wetu wa mamia ya mifano mipya ya malori na matrekta, hata katikati ya vikwazo na kutengwa."

"Hata kama adui atatuwekea vikwazo kwa mamia na maelfu ya miaka, kukumbatia kwetu nguvu za kijeshi, uwezo wa kiuchumi unaoendelea, na mamilioni ya wafuasi wa chama hakika kutatuletea ushindi ambao utakuja kama dhoruba," gazeti hilo lilisema.

Link yenye video pia: Kim Jong-un displays his latest arsenal - of tractors
Link: North Korea displays new trucks in defiance of sanctions

Dec. 8 (UPI) -- North Korea held a parade of new tractors and cargo trucks in Kim Il Sung Square in defiance of sanctions, according to state media.

The display of hundreds of blue farm tractors and white trucks on a snowy road in Pyongyang was published in the Korean Workers' Party newspaper Rodong Sinmun on Friday.
The newspaper reported the Thursday procession represented the Kim Jong Un policy of "Mallima," or accelerating economic progress through self-developed regeneration or revitalization.

The public display is a signal North Korea is sending to the international community about its capacity to withstand heavy economic sanctions, South Korea's CBS No Cut News reported.

North Korean Premier Pak Pong Ju said at the opening ceremony the vehicles "clearly demonstrate no one can stop us from moving forward" in science and technology.

The Rodong stated, "More than anyone else, the enemy knows the meaning of our commendable production of hundreds of new models of vehicles and tractors, even in the midst of sanctions and blockades."

"Even if the enemy sanctions us for hundreds and thousands of years, the embrace of military power, prevailing economic potential, and tens of millions of party loyalists will surely bring us a victory that will come like a storm," the newspaper stated.

The photographs included crowds gathered at the sidelines, cheering the procession as it moved toward the square.

North Korea's parade is taking place at a time when South Korea's unification ministry is planning economic projects of its own involving "cooperation with other countries" that could send a "clear signal to the North, which is looking for economic breakthroughs," according to Unification Minister Cho Myung-gyun.

Yonhap reported Cho was speaking before representatives of potential partner countries, including Russia, China and Mongolia, as well as the economic blocs of ASEAN and the European Union.

Cho said if the projects yield tangible results, North Korea would also "put down its nuclear weapons" and join the path of cooperation.

Updates....

1. Link ya video Kim Jong-un displays his latest arsenal - of tractors
2. Picha

North 22.JPG
North e.JPG
North Korea 111.JPG
north.JPG
 
hana lolote mbwembwe tu,mbona tayar NK imemuagiza wazir wa mambo ya nje wa RUSIA kuwaomba USA warudi kwenye meza ya mazungumzo,ameshaanza kufyata
Kutaka mazungumzo ya amani haina maana umebanwa sana. Ni busara ya kutaka mambo mengine yapite pembeni, hata kuomba msamaha haina maana umeshindwa. Kuepusha visivyo na msingi vipite pembeni tu.
 
Safi sana KIM Mungu akuongoze uendelee kupambana zaidi...marekani na washirika wake hawataki kuona mataifa mengine yakiendelea kitechnolojia...pambana mwanaume tupo nyuma yako.
 
Halafu wapuuzi wanamfananisha Nk na waarabu ambao hata majambia(vifaa Kati) ya kuchinjia wananunua kutoka kwa wazungu.

Note : Kim is not an Arab
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom