lwampel JF-Expert Member Feb 28, 2011 249 55 Sep 15, 2011 #1 Jamaa m1 alikua anaota anakula pilau na minofu ya nyama, kuamka asubuhi akakuta godoro alilolalia limebaki kipande tu.
Jamaa m1 alikua anaota anakula pilau na minofu ya nyama, kuamka asubuhi akakuta godoro alilolalia limebaki kipande tu.
afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,207 Sep 15, 2011 #2 Hahahahahahaha loohhhh Mnafujo sana ..
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Sep 15, 2011 #3 aaahaa haaa haaa.................sa sijui ka kuna habari ya haja kubwa tena hapo
mwanya Member Feb 7, 2011 30 1 Sep 15, 2011 #6 oldonyo said: Mbna cjacheka au mimgonjwa? Click to expand... <br /> <br /> ebana wahi kapime, isje ikawa unamis bandama! Tehe tehe!
oldonyo said: Mbna cjacheka au mimgonjwa? Click to expand... <br /> <br /> ebana wahi kapime, isje ikawa unamis bandama! Tehe tehe!