Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Salaam wakuu najuwa wengi mmelala ila naimani mtakutana na Uzi wangu huu na mkaweza kuni shauri.
Kiukweli ni miezi 4 sasa inaenda nimekuwa nikisumbuliwa na njozi
Inayo Nisihi nasauti ziki sema Elimu yako silolote wala sichochote kama huta itumia kumtangaza mwenyezi mungu alio kujalia uhai na amani ya moyo wako sauti inazidi kupaa ikisema Sitataja jina langu )Fulaaaan Fulaaan
Amkaaaa na itangaze kweli nahaq ya muumba wako umerudhukiwa elimu ya dunia na yadini itumie kumtaja mola wako na kuifikisha kwa mataifa na jamii yako njozi hii imekuwa ikijirudia mara kwa mara sasa
ikiashiria kunitaka kuwa Mhadhir wa dini ikinisiii kila wakati usingizini kiukweli nimesoma dini si kiasi kikubwa ila kiasi fulani ninaelimu nzuri ya dini hivyo nauwezo mzuri wa kuifikishia hadhira elimu juu ya kumcha muumba wetu
Nimeleta kwenu mada hii ndugu zangu mnishauri Kwawelidi wenu ama kunipanulia mapana zaidi yausikanayo na njozi hii na nanini nifanye ili jambo hili lisijitokeze tenaa
Tafadhali naomba tusi kejeliane bali tushauriane sote ni binadamu na tuna mapungufu natupo humu kuelimishana pia asanteni.
Nawasilisha.
Kiukweli ni miezi 4 sasa inaenda nimekuwa nikisumbuliwa na njozi
Inayo Nisihi nasauti ziki sema Elimu yako silolote wala sichochote kama huta itumia kumtangaza mwenyezi mungu alio kujalia uhai na amani ya moyo wako sauti inazidi kupaa ikisema Sitataja jina langu )Fulaaaan Fulaaan
Amkaaaa na itangaze kweli nahaq ya muumba wako umerudhukiwa elimu ya dunia na yadini itumie kumtaja mola wako na kuifikisha kwa mataifa na jamii yako njozi hii imekuwa ikijirudia mara kwa mara sasa
ikiashiria kunitaka kuwa Mhadhir wa dini ikinisiii kila wakati usingizini kiukweli nimesoma dini si kiasi kikubwa ila kiasi fulani ninaelimu nzuri ya dini hivyo nauwezo mzuri wa kuifikishia hadhira elimu juu ya kumcha muumba wetu
Nimeleta kwenu mada hii ndugu zangu mnishauri Kwawelidi wenu ama kunipanulia mapana zaidi yausikanayo na njozi hii na nanini nifanye ili jambo hili lisijitokeze tenaa
Tafadhali naomba tusi kejeliane bali tushauriane sote ni binadamu na tuna mapungufu natupo humu kuelimishana pia asanteni.
Nawasilisha.