Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,103
- 26,982
Wakuu habari..
Kuna uzi humu ulikuwa ukitembea kuhusu kuwaasa watu kutooa katika familia maskini/fukara kwa hoja kwamba umaskini unaambukiza haraka sana kuliko utajiri.
Ikizingatiwa kwamba familia zetu nyingi ni hoehae, hivyo chance ya kuangukia huko inabaki kuwa kubwa.
Ebu njooni tupeane mbinu na maujanja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uzi humu ulikuwa ukitembea kuhusu kuwaasa watu kutooa katika familia maskini/fukara kwa hoja kwamba umaskini unaambukiza haraka sana kuliko utajiri.
Ikizingatiwa kwamba familia zetu nyingi ni hoehae, hivyo chance ya kuangukia huko inabaki kuwa kubwa.
Ebu njooni tupeane mbinu na maujanja.
Sent using Jamii Forums mobile app