Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,917
- 23,239
Tena sana, walao tunamshukuru Mungu japo mapito ni mengi lakini hakuna anaekufa kwayoMapito kwa binadamu ni mengi mnoo
Tena sana, walao tunamshukuru Mungu japo mapito ni mengi lakini hakuna anaekufa kwayoMapito kwa binadamu ni mengi mnoo
Ulifanikiwa kutusua?In summary...
Mshua na Mama walizinguana.
Mshua akasepa.
Mama alipatwa na redubdancy nikiwa F2.
Maisha yakaChange.
Mlo m1 ilikuwa issue.
As an older boy nlipaswa kwenda shule. Nikitoka naingia Mtaani kuHustle ili Mother na wadogo zangu wawili wapate cha kuingiza Mdomoni.
Umbali wa shule na Home ilikuwa 7km. No daladala by then.
Sikuwa kuipenda Jumatatu - Ijumaa asilani.
Nilizipenda weekend tu.
Maza aliumwa.
Ndugu zake wakala buyu.
Jukumu la kumuuguza mama likabaki kwangu.
Maza aliumwa kiasi kila kitu anafanya hapo hapo.
Nlikuwa Nampikia. Namnywesha. Namuogesha. Naenda mtoni kumfulia. Imagine Mtoto wa Kiume wa F2 kufanya haya...
Daaah....
Kabla kumaliza Secondary, Maza akadondoka.
Acheni kabisa.
Street bro m1 alikuwa ananisaidia hela ndogo ndogo coz alikuwa anaijua familia yetu.
Kumbe PUSHA.
Nikaanza kuuza MZIGO.
Nikaanza kupata pesa.
Shule sikuona tena km ina umuhimu.
Japo sikuacha.
Hii nakazia hakuna unafuu kabisaNyakati ngumu zinakomaza na kutupeleka kwenye uchumi wa kati..kila siku nasema nayakati ngumu ni kama makalio,hakuna ambae hana yanatofautiana ukubwa tu.
Kama ingekua hio ndio tiketi ya kutusua ungekuta nusu ya watu wote wametusua maana wanayopitia haya na kuzidi ni wengi lakini idadi ya maskini Ni kubwa bado. na chanzo kinaweza kua Ni aina hii ya maisha.Lkn umetusua sasa hivi mkuu? Uwongo
Mimi niliishi na shangazi. Alikua anaficha chapati chumbani😂Mama wa kambo.
Kuna aliyeishi na mama wa kambo halafu huyo mama akapika chapati?
Ni kweliKama ingekua hio ndio tiketi ya kutusua ungekuta nusu ya watu wote wametusua maana wanayopitia haya na kuzidi ni wengi lakini idadi ya maskini Ni kubwa bado. na chanzo kinaweza kua Ni aina hii ya maisha.
Mashangazi wengine sio kabisaMimi niliishi na shangazi. Alikua anaficha chapati chumbani😂
Mama na Baba walikuwa wap kipindi hicho?Tena sana, walao tunamshukuru Mungu japo mapito ni mengi lakini hakuna anaekufa kwayo
Mama alifariki mapema kidogo nikiwa na mwezi mmoja. Baba alifariki baadae kidogo nikiwa na miaka 2 mwaka 1991.Mama na Baba walikuwa wap kipindi hicho?
I can't breath kwa kweli jamani 😢😢😢,Mama alifariki mapema kidogo nikiwa na mwezi mmoja. Baba alifariki baadae kidogo nikiwa na miaka 2 mwaka 19991.
Bibi ndie alie nilea mpaka 96 akawa nae haoni Tena mpaka ilipofikia.
Hii ilinipelekea mpaka leo hakunamtu ninaemuheshimu,ninaemjali,ninaempenda,ninaemthamini na kumtakia kila jema Kama mwanamke, Mungu awepe wepesi kwa kweli wakina mama wote.I can't breath kwa kweli jamani ,
Very very sorry , rest in peace bibi jamani. Kulea Mtoto wa mwezi sio mchezo
Mbona stepfathers huwa wana beefs na watoto wa kufikia wa kiume na wanaishi vizuri sana na watoto wa kufikia wa kike.Nimeishi na stepfather
yule baba akamjaza bi mkubwa maneno ..
nilichukiwa siwezi kusahau .
Ila yalishapita
Pole sana mkuu. Mimi nikiwa mdogo pia niliwahi kupitia changamoto nyingi sana za maisha ya umasikini katika mavazi mpaka nikaachana na kwenda kanisani, sema tu ninakwepa sana kuzikumbuka kwa maana nafsi yangu itaniuma tena.Mapito ya mtu toka udogo mpaka ukubwa huwa Ni mengi sana, iwe wa kishua ama wa kikwetu.
Kila mmoja ana magumu yake.
Langu moja wapo la kale kidogo, nilikulia mazingira ambayo usipoenda kanisani jumapili Ni Kama kosa kubwa sana, hivyo nilazima kwenda. Na pia ilikua Ni lazima kwenda ibada za watoto au ya pili kwa kule kwetu haswa walio katika ngazi ya mafundisho.
Nilikua na nguo moja tuu ya kanisani karibu miaka 3, aibu nilio kua napata sio ya nchi hii, kuchekwa kulipozidi ilinifanya nisiwe napita barabarani wakati wa kwenda kanisani ama kutoka.
Nilikua nakatiza kwenye migomba ya watu huko uchagan mpaka kufika parokian sio safari fupi, mradi tu niingie kanisani. Nakisha kutoka nakatiza shamba kwa shamba mpaka nyumbani, bahati mbaya sana nilikua naishi na bibi ambae alikua kua kipofu so hakujua ninavaaje ama nikoje.
Hii ilinipelekea kujitenga na kutengwa ambayo mpaka Leo hivi imeniathiri kwa kweli, sio mtu wa kujichanganya kabisa yaani.
Mtoto wa kike wa kufikia Ni nyama ya hamu.Mbona stepfathers huwa wana beefs na watoto wa kufikia wa kiume, na wanaishi vizuri sana na watoto wa kufikia wa kike.
Inakuwaje wewe dada alikuwa anakuchukia?
Mkuu, vipi wale akina mama wanaowatupa watoto wao chooni, nao pia unamuomba Mungu awape wepesi?Hii ilinipelekea mpaka leo hakunamtu ninaemuheshimu,ninaemjali,ninaempenda,ninaemthamini na kumtakia kila jema Kama mwanamke, Mungu awepe wepesi kwa kweli wakina mama wote.
Hahaha dah ..kila komenti unauliza kutusua tu😀😀😀Ulifanikiwa kutusua?
Naam, maisha ya wakina mama ndugu yangu sio mepesi kabisa, kile kinachompelekea mpaka kufika hatua hio naamini kabisa ni nje ya jaliwa la Mungu.Mkuu, vp wale akina mama wanaowatupa watoto wao chooni, nao pia unamuomba Mungu awape wepesi?
Hongera mkuu kwa kuvuka, nyakati za namna hio hata Kama zitadumu namna gani wakati fulani hazitakuwepo.Pole sana mkuu. Mimi nikiwa mdogo pia niliwahi kupitia changamoto nyingi sana za maisha ya umasikini katika mavazi mpaka nikaachana na kwenda kanisani, sema tu ninakwepa sana kuzikumbuka kwa maana nafsi yangu itaniuma tena.
Nilijipa jina hili la INFANTRY SOLDIER kwa sababu ya maisha ya umasikini na shida nilizozipitia. Hakika Mungu ni mwema.