Tukumbushane Wajumbe 17 walioanzisha Chama cha TANU na uzao wao kwenye siasa za sasa nchini

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,230
6,469
Habari wadau wa JF Siasa, niende kwenye mada hapo juu.

Itakumbukwa tarehe 7/7/1954 kuna Wajumbe 17 wanaokumbukwa katika historia kwenye kuchangia pakubwa kuanzishwa Chama cha TANU.

Miongoni mwao ni Julius Kambarage Nyerere, Tewa Said Tewa, Oscar Kambona, Saadan Kandoro, Aby Sykes, John Rupia nk.

Kiini cha swali: Wameacha nasaba zao katika siasa?

- Naanza na Nyerere, amemuacha Makongoro Nyerere.

- Abby Sykes amemuacha Abdul Sykes aliyekuja kuwa Meya wa jiji la Dar es Salaam baadae.

- Saadani Kandoro mtoto wake alikuja kuwa Mkuu wa Mkoa Dar, Arusha, Mwanza na Mbeya.

Kumbuka wengine historia ya Tanganyika na Tanzania ilikuja kuwachukia na kutotaka chochote kizuri kiandikwe juu yao.

Na wewe tiririka kuhusu wengine hata kama waliacha alama kama watoto, wajukuu au hata vilembwe katika siasa za kitaifa.

Karibuni.
 
Ngoja waje
Habari wadau wa JF siasa.

Niende kwenye mada hapo juu.

Itakumbukwa tarehe 7/7/1954 kuna wajumbe 17 wanaokumbukwa ktk historia ktk kuchangia pakubwa kuanzishwa chama cha TANU.

Miongoni mwao ni Jk Nyerere, Tewa said Tewa, Oscar Kambona, Saadan Kandoro, Aby Sykes, John Rupia nk.

Kiini cha swali: Wameacha nasaba zao ktk siasa?
Naanza na Nyerere amemuacha Makongoro Nyerere.
Abby Sykes amemuacha Abdul Sykes aliyekuja kuwa Meya wa jiji la Dar es salaam baadae.

Saadani Kandoro mtoto wake alikuja kuwa mkuu wa mkoa Dar, Arusha, Mwanza na Mbeya.

Na wewe tiririka kuhusu wengine hata kama waliacha alama kama watoto, wajukuu au hata vilembwe ktk siasa za kitaifa.

Karibuni.
 
Habari wadau wa JF siasa.

Niende kwenye mada hapo juu.

Itakumbukwa tarehe 7/7/1954 kuna wajumbe 17 wanaokumbukwa ktk historia ktk kuchangia pakubwa kuanzishwa chama cha TANU.

Miongoni mwao ni Jk Nyerere, Tewa said Tewa, Oscar Kambona, Saadan Kandoro, Aby Sykes, John Rupia nk.

Kiini cha swali: Wameacha nasaba zao ktk siasa?
Naanza na Nyerere amemuacha Makongoro Nyerere.
Abby Sykes amemuacha Abdul Sykes aliyekuja kuwa Meya wa jiji la Dar es salaam baadae.

Saadani Kandoro mtoto wake alikuja kuwa mkuu wa mkoa Dar, Arusha, Mwanza na Mbeya.
Kumbuka wengine historia ya Tanganyika na Tanzania ilikuja kuwachukia na kutotaka chochote kizuri kiandikwe juu yao.

Na wewe tiririka kuhusu wengine hata kama waliacha alama kama watoto, wajukuu au hata vilembwe ktk siasa za kitaifa.

Karibuni.
Hivi ni Aby au Abdulwahid
 
Habari wadau wa JF siasa.

Niende kwenye mada hapo juu.

Itakumbukwa tarehe 7/7/1954 kuna wajumbe 17 wanaokumbukwa ktk historia ktk kuchangia pakubwa kuanzishwa chama cha TANU.

Miongoni mwao ni Jk Nyerere, Tewa said Tewa, Oscar Kambona, Saadan Kandoro, Aby Sykes, John Rupia nk.

Kiini cha swali: Wameacha nasaba zao ktk siasa?
Naanza na Nyerere amemuacha Makongoro Nyerere.
Abby Sykes amemuacha Abdul Sykes aliyekuja kuwa Meya wa jiji la Dar es salaam baadae.

Saadani Kandoro mtoto wake alikuja kuwa mkuu wa mkoa Dar, Arusha, Mwanza na Mbeya.
Kumbuka wengine historia ya Tanganyika na Tanzania ilikuja kuwachukia na kutotaka chochote kizuri kiandikwe juu yao.

Na wewe tiririka kuhusu wengine hata kama waliacha alama kama watoto, wajukuu au hata vilembwe ktk siasa za kitaifa.

Karibuni.
Nyerere ni muanzilishi au alikaribishwa? Weka historia sahihi, najua ni vigumu kwa sababu ilivurugwa sana.
 
Nyerere ni muanzilishi au alikaribishwa? Weka historia sahihi, najua ni vigumu kwa sababu ilivurugwa sana.
Duuuuhh, kuna mambo tusioyajua. Ndyo maana nilisikia Nyerere hakupanga kupigania Uhuru ila alipewa ushauri na wazee ktk mchezo wa bao aliokuwa akiupenda kucheza jioni baada kumaliza kufundisha wanafunzi.
 
Habari wadau wa JF siasa.

Niende kwenye mada hapo juu.

Itakumbukwa tarehe 7/7/1954 kuna wajumbe 17 wanaokumbukwa ktk historia ktk kuchangia pakubwa kuanzishwa chama cha TANU.

Miongoni mwao ni Jk Nyerere, Tewa said Tewa, Oscar Kambona, Saadan Kandoro, Aby Sykes, John Rupia nk.

Kiini cha swali: Wameacha nasaba zao ktk siasa?
Naanza na Nyerere amemuacha Makongoro Nyerere.
Abby Sykes amemuacha Abdul Sykes aliyekuja kuwa Meya wa jiji la Dar es salaam baadae.

Saadani Kandoro mtoto wake alikuja kuwa mkuu wa mkoa Dar, Arusha, Mwanza na Mbeya.
Kumbuka wengine historia ya Tanganyika na Tanzania ilikuja kuwachukia na kutotaka chochote kizuri kiandikwe juu yao.

Na wewe tiririka kuhusu wengine hata kama waliacha alama kama watoto, wajukuu au hata vilembwe ktk siasa za kitaifa.

Karibuni.
Historia siyo habari za uongo uongo na kujitungia mambo upendavyo, umepata wapi kusema Oscar Kambona na Ebby Sykes ni miongoni mwa watu 17 walioanzisha TANU?
 
hawa wakina bibi titi na wakina tambaza, mwinyi nani sijui na yule ndugu mtemvu wao nafasi yao ilikuwa wapi hasa...

maana mzee tambaza alitumia nafasi yake kuisaidia nchi kwelikweli huyu kwangu ni shujaaa... katk wote hao...!

sizani kama kuna MTU wa aina ya Tambaza kwa sasa.... ktk nchi hii... ustaarab ulianzia Pwani... wakoromije mna tuvuruga na destuli zetu... wakina JK wana elewa hilo...
 
Nyerere alikaribishwa TAA na akawa mmoja wa wanzilishi wa TANU hiyo ndio historia sahihi. Acha uongo.
alikaribishwa historia imechezeshwa... endelea kukariri madaftari... watu wa bara hawana historian ya nchi hii maana hawakushiriki kwa kiasi kikubwa kupigania Uhuru wa nchi kuanzia uanzishwaji wa vyama na mipango ya ukomboz/Uhuru

Dar au Mzizima ndipo kulikuwa sehem kuu na bagamoyo... huko bara sio sana au hakukuwa kabisa ktk baadhi ya maeneo...

Historia imechezeshwa vizuri na ustadi wa hali ya juu.... endeleeni kumeza hayo makaratasi ya kumalizia darasa LA saba, kidato cha NNE au sita nk...
 
Back
Top Bottom