Una point hapo, umeeleweka mamitoKwa hali hiyo ya kumkomoa utaenjoy vekesheni? Manake adventure ya vekesheni is sex on the beach, or in the garden. Wewe mawazo yote kwenye bili?
bora umkomoe na house upgrading kwanza, now sofas, new fridge, new beds and curtains ama new car. Ukishamsamehe wewe ndo umpeleke vekesheni
Utoto unawasumbua, kama hujiamini small house ya nini?Mmmmmmh!Anakufanyia hivo coz anajua vitakuuma! Atleast un concious left! Nyie ndo michepuko mnaiibukia ukubwani! Guilty kibaoooo! Roho inakudunda 24/7......
Kim nana huwezi kuamini, sina pa kuponea, kila cku nachafua mashuka mpaka naona aibu. Kwa kweli inabidi nifanye kazi ya ziada. Mchepuko nimeuacha kabisa ili nisawazishe ndoa yanguInaelekea hujui kuomba msamaha, miezi 6 hujasamehewa?
Tatizo wanaume hampendi kujishusha hata kama mmekosea. Hebu jishushe, onyesha kujuta, badili ratiba, kama ulikuwa unachelewa kurudi hebu jitahidi kuwahi.
Halafu swali la kizushi...We mchepuko umeuacha kweli? Hiyo miezi yote unaponea wapi wakati huduma ya ndani imesitishwa?
Kivipi? Kwa kunikomoa? Asisahau kila binadamu si kamili, kesho ikifika kwake nami nimfanyaie hivyo?. Anyway, asantewife wako nimempenda
pole sana....
Asante sana kaka. Wanaume tuna shida kweli kweli
Mkuu hata angechukua nini the wife was smart yeye alitaka tu kumuonyesha mumewe nimekuona usije kuruka baadae. Hakuwa na haja ya ugomvi na mi mdogo. Mi nimempenda bure... hata kama alilia mwanamke jasiri anafuta machozi yake hamuonyeshi jamaa kulia utalilia mbele huko wakati unatwangwa na mchepuko wako na wewe...!Ulikosea kuchukua mwanamke mbovu..ndo maana mkeo alipomuona akawa na guts za kuwafuata..ungechukua kifaa cha nguvu angeenda straight home kulia..sasa hapo ana kuona ovyo ume toka nje umeacha home kifaa..yuko angry mno
Nilifikiria hivyo, lakini rafiki yangu mmoja akanishauri nisubiri hasira ziishe kwanza. Lakini sasa ni mwezi wa sita tangu anichunie
Asante sana kaka. Wanaume tuna shida kweli kweli
Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada. Hii ni story ya kweli na imenikuta mwenyewe. Ushauri tafadhali.
Ni mwezi wa sita sasa tangu haya yanikute. Jamani mchepuko mbaya sana bakini njia kuu.
Ilikuwa siku ya Ijumaa baada ya kutoka kibaruani, nikaamua kwenda kwa mchepuko wangu mida kama ya saa 12 jioni. Baadae tukaamua kutoka kwa ajili ya kinywaji. Wakati huo mke wangu alikuwa yuko busy na masomo hivyo sikuwa na wasiwasi kuwa mambo yangebumbuluka. Mida ya saa 4.30 usiku tukatoka ili nimrudishe bi mdogo home. Tukiwa njiani si unajua tena mambo ya wapendanao hasa ukichanganya na ulabu. Bi mdogo alikuwa anaishi TipTop na tulikuwa tunatokea mitaa ya Rose Garden kupitia njia ya Shekilango.
Bila kujitambua kumbe mke wangu naye alikuwa anatoka kumuona mdogo wake aliyekuwa amepata ajali jioni hiyo mimi nikiwa sina taarifa maana simu niliizima. Kumbe mke wangu aliniona na yule mwanamke tukipigana mabusu huku naendesha gari, aliamua kutufuata hadi nilipokuwa namshusha ule mchepuko. Huku tukiagana kwa mabusu, mke wangu alinipigia honi akiwa amepaki pembeni yangu. Niliposhituka na yeye kuhakikisha nimemuona, alinipungia mkono na kuondoa gari.
Tatizo linalonipata, niliporudi home nilimkuta keshalala na hivyo sikuweza kuongea naye. Asubuhi aliondoka mapema kwenda chuoni. Zikapita kama siku 5 hivi bila kuongea naye maana alikuwa ananikwepa. Siku nilipopata muda wa kuongea naye, nilipoanza tu kujielelza, alijibu kuwa nisiwe na wasiwasi kwani aliishanisamehe, na anachotaka ni mimi kufurahia maisha. Hadi leo amekataa kushiriki na mimi tendo la ndoa na hataki kuzungumzia masuala yaliyopita. Natamani kufa mwenzenu. Ushauri please
Mmmmmh! Mbona unanitisha tena, badala ya kunipa faraja?
Kim nana huwezi kuamini, sina pa kuponea, kila cku nachafua mashuka mpaka naona aibu. Kwa kweli inabidi nifanye kazi ya ziada. Mchepuko nimeuacha kabisa ili nisawazishe ndoa yangu
Nashukuru mkuuKwa hiyo umekuja hapa kuomba faraja na sio ushauri.
Jaribu kufikiri wewe ungekuwa ndio umemuona anamiminiwa mabusu kwenye gari yake kisha ukampigia honi ili kumhakikishia ya kwamba umemuona ukampungia mkono ukaondoka alafu anarudi nyumbani anajaribu kuliongelea unamuambia nimeshakusamehe,swali langu kwako je utakuwa umesamehe kweli?
Huyo mke wako ana hasira ambayo haielezeki inawezekana usiku huwa anaamka anakuangalia unavyokoroma anatamani akate hicho lakini akikumbuka pengine mna na watoto anafikiria itakuwaje anaacha.
Ushauri wangu kwako mtafute mshenga au wazee wenye hekima mkae na mkeo chini myamalize.
Wanawake ni watu wenye huruma sana na vilevile ni makatili sana pale unapowakorofisha
Si ndio hapo mkubwa, lakini niamua kuwaza hayo nahisi ndio kabisa ntakuwa naharibu. Ngoja kwanza nijitahidi kusawazisha mengine baadae. Ngoja nivuke daraja moja baada ya jingineUsawazishe ndoa mwezi wa 6 sasa kaka? hivi umeshajiuliza haya maswali kwamba ndani ya miezi sita ni nani anampa huduma ya tendo la ndoa
Kweli mkubwa, kisaikolojia niko vibaya sana. Sina kawaida ya kurusha uzi unaonihusu humu jamvini, lakini leo maji yamenifika shingoni, sina jinsi. Kuna wakati nashindwa hata kufanyakazi mpaka naogopa naweza kufukuzwa.Hiyo inaitwa psychological torture