mwanafyale
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 1,641
- 535
- Thread starter
- #21
Asante sana kaka. Wanaume tuna shida kweli kweliDuh!!!!! Pole zako nyingi sana.
Asante sana kaka. Wanaume tuna shida kweli kweliDuh!!!!! Pole zako nyingi sana.
Nmewahi. Ndio maana najutia kosa langu. Nitajaribu kumshawishi kama atakubali kwenda vocational. Ila mmmmh! Mambo magumu sanaUshawahi kuwaza what it's like to be in her shoes??...mpeleke vacation somewhere
Nilifikiria hivyo, lakini rafiki yangu mmoja akanishauri nisubiri hasira ziishe kwanza. Lakini sasa ni mwezi wa sita tangu anichuniewe ndo unamjua mkeo,yaweke wazi kwa wazazi wawashauri na uombe msamaha hadharani
Wewe vacation ya wapi itakufanya usamehe?Ushawahi kuwaza what it's like to be in her shoes??...mpeleke vacation somewhere
Wewe vacation ya wapi itakufanya usamehe?
Rip
Tukushauri nini? Mkeo yipo sahihi kwa nini akupe tendo la ndoa? Maradhi mengi. Imagine yeye atulize kujilinda halafu wewe unakitembeza starehe zako zisimcost maisha yake.
Pia hapo hatuna la kukushauri. Maana inategemea na kiasi gani umemuumiza mkeo. Ujue hakuna kitu kigumu kukijenga kama trust na hakuna kitu rahisi kukiharibu kama trust.
Mwache mpaka moyo wake utakapoamua kufunguka. Kwa sasa acha michepuko na omba sana moyo wa mkeo ulainike
depending na uwezo wa mume,ntachagua spot ambayo akiwa analipia lazma asikie uchunguuu,..yani kimuume haswaaa akose hata sh 5 ya kumpa kimada
Kwa hali hiyo ya kumkomoa utaenjoy vekesheni? Manake adventure ya vekesheni is sex on the beach, or in the garden. Wewe mawazo yote kwenye bili?
bora umkomoe na house upgrading kwanza, now sofas, new fridge, new beds and curtains ama new car. Ukishamsamehe wewe ndo umpeleke vekesheni
teh teh mchepuko utamuhudumia,kumbe jamaa ndoa anaitaka afu anaendekeza panya roadmkeo amefanya la maana. amekusamehe ila unyumba hupat. una waswas gani? utapata kwa mchepuko wako.