Njoo uwekeze kwenye biashara ya mafuta (Fuel) kwa laki 1 tu kama kima cha chini

Kuna watu wanaenda pigwa hapa
Mafuta faida yake ni 200 hadi 500 kwa lita
Kwa mtaji wenu nyie mtanunua kwa hawa wakubwa maana yake faida imepungua tena sio 500
Hao watu 100 wakijichanga kwa 2mil kila mmoja ni 200mil ambayo mtafanikiwa nunua tanker 2 kwa mkupuo
Faida huwez pata ya kuwagawia wote 10pc ya uwekezaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini msisajiri kampuni yenu kwny STOCK MARKET zinazoeleweka hapa nchini.

Ili Tukawafate huko huko kusaini MIKATABA

Kuliko hii ya KUSAINISHANA mikataba UCHOCHORONI

Bila utaratibu rasmi Unaotambulika kisheria kuhusiana na hizi ishu za SHARE HOLDING

Naomba ufafanuz



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwanza naomba nifafanue vizuri kuwa sisi hatuuzi shares bali unawekeza pesa yako kama unavyoweka fixed deposit bank, kisha utakua unalipwa 10% ya pesa uliyowekeza kwa kila mwezi bila kuathiri pesa yako uliyowekeza. Kumbuka pesa hii utakayolipwa inatokana na faida tunayopata kwenye biashara yetu, hivyo shares hazihusiki hapa mkuu.

Pili tunasainishana mikataba kwa mujibu wa sheria ndio maana tunakuruhusu kuleta mwanasheria wako ili ujiridhishe kuwa unachoenda kufanya sio longo longo wala utapeli.
Karibu tufanye biashara mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UWEKEZAJI KATIKA BIASHARA YA MAFUTA

Nimeona niwaletee fursa niliyonayo ambayo inahusiana na uwekezaji kwenye biashara na kuweza kujiongezea kipato nje ya mshahara au kazi yako unayofanya, fursa hii inawahusu watu wote ila nimeona ni vyema nanyi niwashirikishe kuliko kuwafaidisha wengine tu nikawasahau ndugu zangu, sasa twende pamoja kuijua fursa hii!

Tuna kampuni inayojihusisha na biashara ya mafuta na gas ambapo tumeona ni vyema kuwashirikisha wadau katika uwekezaji wa biashara hii ya mafuta.

Tunakaribisha watu mbalimbali kuwekeza kwenye mradi wetu wa mafuta kiasi ambapo mwekezaji atakua anapata Gawio la 10% kila mwezi kutokana na uwekezaji wake na baada ya muda wa mkataba tuliokubaliana kumalizika mhusika anaweza kuamua kuhuisha mkataba wake ama akachukua hela yake aliyowekeza. Namna ya kuwekeza ni kama ifuatavyo ;

1. uwekezaji huu unafanyika kisheria kwa kufuata taratibu zote za uwekezaji katika miradi za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya usimamizi wa mwanasheria wa kampuni!

2. Mwekezaji atalipwa gawio la 10% ya Gharama ya uwekezaji wake kila mwezi bila kuathiri pesa yake aliyowekeza.

3. Mwekezaji hatahusishwa na hasara yoyote itakayojitokeza ktk uendeshaji.

4. Mwekezaji hatohusishwa na Gharama yoyote ya uendeshaji.

5. Kiwango cha chini cha uwekezaji ni 100,000 na Kiwango cha juu ni 2,000,000 kwa mtu binafsi. Kwa taasisi au kampuni kima cha chini cha uwekezaji ni 500,000 na kima cha juu ni 10,000,000 kwa taasisi au kampuni moja.

6. Mkataba wa uwekezaji kwa mtu binafsi utahuishwa kila baada ya miezi 3 ( hivyo kila baada ya miezi 3 utaamua kuendelea kuwekeza au kuondoa pesa yako kwenye uwekezaji). Kwa taasisi au kampuni muda wa kuhuisha mkataba ni kila baada ya miezi 6.

7. Gawio litatolewa tar 1 ya kila mwezi kupitia account ya kampuni ( hapa pesa hutumwa kwa mhusika automatically kwa kutumia system ya bank inayotumiwa na kampuni yetu).

8. Mwekezaji anaruhusiwa kukagua mradi wetu wa mafuta na documents zote za usajiri kisheria ili kujiridhisha kabla hajaamua kuniunga na mradi.

9. Mwekezaji anaruhusiwa kuwa na mwanasheria wake au shahidi wakati wa kufanya makubaliano ya mkataba.

Sifa za Mwekezaji ni kama ifuatavyo ;
1. Anatakiwa kuwa mtanzania wa kuzaliwa au kuandikisha (akiwa sio mtanzania anapaswa kuwa na kibali cha kuishi nchini na kibali cha kufanya kazi nchini)

2. Anatakiwa kuwa na umri usiopungua miaka 18.

3. Awe na akili timamu.

4. Jinsi zote.

5. Awe na kitambulisho cha Taifa, cha mpiga kura au leseni ya udereva. Picha moja passport size.

6. Shilingi elfu 2 ya kulipia form.

7. Pesa ya uwekezaji isiyopungua 100,000 kwa mtu binafsi na 500,000 kwa taasisi.

NB : Kwa aliyekidhi vigezo tajwa hapo anazo sifa za kuwa mwekezaji wetu, tunahitaji wawekezaji 100 kwa awamu ya kwanza.
Dirisha la usajiri kwa awamu ya kwanza litafungwa tarehe 30 April 2019.

Tunapenda kuwakaribisha nyote katika uwekezaji huu wa kibiashara, kwa watakaowiwa kuwekeza wawasiliane nami kwa maelezo zaidi kupitia ;
0764 143 900
0715 143 900
hemedrenatus@yahoo.com
hgecompany@gmail.com

Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kampuni yako haina jina?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanaenda pigwa hapa
Mafuta faida yake ni 200 hadi 500 kwa lita
Kwa mtaji wenu nyie mtanunua kwa hawa wakubwa maana yake faida imepungua tena sio 500
Hao watu 100 wakijichanga kwa 2mil kila mmoja ni 200mil ambayo mtafanikiwa nunua tanker 2 kwa mkupuo
Faida huwez pata ya kuwagawia wote 10pc ya uwekezaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu napenda kukufanulia kuwa baishara ya mafuta haiko hivyo kama ulivyoandika jaribu kufanya utafiti. Napenda kukufahamisha kuwa 10% ya 200 mil ni 20mil tu ambayo ni pesa ya kawaida sana kwenye faida ya Kituo cha mafuta kwa mwezi. So biashara hii ni tofauti sana na unavyoandika mkuu na usipate woga kuijaribu siku moja ili uujue undani wake!

FYI wala usiongelee tankers mbili nyingi sana hizo ni lita elfu 80, hata nusu tanker tu lita elfu 20 pekee inaweza kutoa hiyo 20 mil kwa mwezi na kampuni ikabaki na faida nzuri tu!
Karibu sana tufanye biashara mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UWEKEZAJI KATIKA BIASHARA YA MAFUTA

Nimeona niwaletee fursa niliyonayo ambayo inahusiana na uwekezaji kwenye biashara na kuweza kujiongezea kipato nje ya mshahara au kazi yako unayofanya, fursa hii inawahusu watu wote ila nimeona ni vyema nanyi niwashirikishe kuliko kuwafaidisha wengine tu nikawasahau ndugu zangu, sasa twende pamoja kuijua fursa hii!

Tuna kampuni inayojihusisha na biashara ya mafuta na gas ambapo tumeona ni vyema kuwashirikisha wadau katika uwekezaji wa biashara hii ya mafuta.

Tunakaribisha watu mbalimbali kuwekeza kwenye mradi wetu wa mafuta kiasi ambapo mwekezaji atakua anapata Gawio la 10% kila mwezi kutokana na uwekezaji wake na baada ya muda wa mkataba tuliokubaliana kumalizika mhusika anaweza kuamua kuhuisha mkataba wake ama akachukua hela yake aliyowekeza. Namna ya kuwekeza ni kama ifuatavyo ;

1. uwekezaji huu unafanyika kisheria kwa kufuata taratibu zote za uwekezaji katika miradi za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya usimamizi wa mwanasheria wa kampuni!

2. Mwekezaji atalipwa gawio la 10% ya Gharama ya uwekezaji wake kila mwezi bila kuathiri pesa yake aliyowekeza.

3. Mwekezaji hatahusishwa na hasara yoyote itakayojitokeza ktk uendeshaji.

4. Mwekezaji hatohusishwa na Gharama yoyote ya uendeshaji.

5. Kiwango cha chini cha uwekezaji ni 100,000 na Kiwango cha juu ni 2,000,000 kwa mtu binafsi. Kwa taasisi au kampuni kima cha chini cha uwekezaji ni 500,000 na kima cha juu ni 10,000,000 kwa taasisi au kampuni moja.

6. Mkataba wa uwekezaji kwa mtu binafsi utahuishwa kila baada ya miezi 3 ( hivyo kila baada ya miezi 3 utaamua kuendelea kuwekeza au kuondoa pesa yako kwenye uwekezaji). Kwa taasisi au kampuni muda wa kuhuisha mkataba ni kila baada ya miezi 6.

7. Gawio litatolewa tar 1 ya kila mwezi kupitia account ya kampuni ( hapa pesa hutumwa kwa mhusika automatically kwa kutumia system ya bank inayotumiwa na kampuni yetu).

8. Mwekezaji anaruhusiwa kukagua mradi wetu wa mafuta na documents zote za usajiri kisheria ili kujiridhisha kabla hajaamua kuniunga na mradi.

9. Mwekezaji anaruhusiwa kuwa na mwanasheria wake au shahidi wakati wa kufanya makubaliano ya mkataba.

Sifa za Mwekezaji ni kama ifuatavyo ;
1. Anatakiwa kuwa mtanzania wa kuzaliwa au kuandikisha (akiwa sio mtanzania anapaswa kuwa na kibali cha kuishi nchini na kibali cha kufanya kazi nchini)

2. Anatakiwa kuwa na umri usiopungua miaka 18.

3. Awe na akili timamu.

4. Jinsi zote.

5. Awe na kitambulisho cha Taifa, cha mpiga kura au leseni ya udereva. Picha moja passport size.

6. Shilingi elfu 2 ya kulipia form.

7. Pesa ya uwekezaji isiyopungua 100,000 kwa mtu binafsi na 500,000 kwa taasisi.

NB : Kwa aliyekidhi vigezo tajwa hapo anazo sifa za kuwa mwekezaji wetu, tunahitaji wawekezaji 100 kwa awamu ya kwanza.
Dirisha la usajiri kwa awamu ya kwanza litafungwa tarehe 30 April 2019.

Tunapenda kuwakaribisha nyote katika uwekezaji huu wa kibiashara, kwa watakaowiwa kuwekeza wawasiliane nami kwa maelezo zaidi kupitia ;
0764 143 900
0715 143 900
hemedrenatus@yahoo.com
hgecompany@gmail.com

Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
ofisi iko wapi na kituo cha mafuta iko wapi
 
UWEKEZAJI KATIKA BIASHARA YA MAFUTA

Nimeona niwaletee fursa niliyonayo ambayo inahusiana na uwekezaji kwenye biashara na kuweza kujiongezea kipato nje ya mshahara au kazi yako unayofanya, fursa hii inawahusu watu wote ila nimeona ni vyema nanyi niwashirikishe kuliko kuwafaidisha wengine tu nikawasahau ndugu zangu, sasa twende pamoja kuijua fursa hii!

Tuna kampuni inayojihusisha na biashara ya mafuta na gas ambapo tumeona ni vyema kuwashirikisha wadau katika uwekezaji wa biashara hii ya mafuta.

Tunakaribisha watu mbalimbali kuwekeza kwenye mradi wetu wa mafuta kiasi ambapo mwekezaji atakua anapata Gawio la 10% kila mwezi kutokana na uwekezaji wake na baada ya muda wa mkataba tuliokubaliana kumalizika mhusika anaweza kuamua kuhuisha mkataba wake ama akachukua hela yake aliyowekeza. Namna ya kuwekeza ni kama ifuatavyo ;

1. uwekezaji huu unafanyika kisheria kwa kufuata taratibu zote za uwekezaji katika miradi za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya usimamizi wa mwanasheria wa kampuni!

2. Mwekezaji atalipwa gawio la 10% ya Gharama ya uwekezaji wake kila mwezi bila kuathiri pesa yake aliyowekeza.

3. Mwekezaji hatahusishwa na hasara yoyote itakayojitokeza ktk uendeshaji.

4. Mwekezaji hatohusishwa na Gharama yoyote ya uendeshaji.

5. Kiwango cha chini cha uwekezaji ni 100,000 na Kiwango cha juu ni 2,000,000 kwa mtu binafsi. Kwa taasisi au kampuni kima cha chini cha uwekezaji ni 500,000 na kima cha juu ni 10,000,000 kwa taasisi au kampuni moja.

6. Mkataba wa uwekezaji kwa mtu binafsi utahuishwa kila baada ya miezi 3 ( hivyo kila baada ya miezi 3 utaamua kuendelea kuwekeza au kuondoa pesa yako kwenye uwekezaji). Kwa taasisi au kampuni muda wa kuhuisha mkataba ni kila baada ya miezi 6.

7. Gawio litatolewa tar 1 ya kila mwezi kupitia account ya kampuni ( hapa pesa hutumwa kwa mhusika automatically kwa kutumia system ya bank inayotumiwa na kampuni yetu).

8. Mwekezaji anaruhusiwa kukagua mradi wetu wa mafuta na documents zote za usajiri kisheria ili kujiridhisha kabla hajaamua kuniunga na mradi.

9. Mwekezaji anaruhusiwa kuwa na mwanasheria wake au shahidi wakati wa kufanya makubaliano ya mkataba.

Sifa za Mwekezaji ni kama ifuatavyo ;
1. Anatakiwa kuwa mtanzania wa kuzaliwa au kuandikisha (akiwa sio mtanzania anapaswa kuwa na kibali cha kuishi nchini na kibali cha kufanya kazi nchini)

2. Anatakiwa kuwa na umri usiopungua miaka 18.

3. Awe na akili timamu.

4. Jinsi zote.

5. Awe na kitambulisho cha Taifa, cha mpiga kura au leseni ya udereva. Picha moja passport size.

6. Shilingi elfu 2 ya kulipia form.

7. Pesa ya uwekezaji isiyopungua 100,000 kwa mtu binafsi na 500,000 kwa taasisi.

NB : Kwa aliyekidhi vigezo tajwa hapo anazo sifa za kuwa mwekezaji wetu, tunahitaji wawekezaji 100 kwa awamu ya kwanza.
Dirisha la usajiri kwa awamu ya kwanza litafungwa tarehe 30 April 2019.

Tunapenda kuwakaribisha nyote katika uwekezaji huu wa kibiashara, kwa watakaowiwa kuwekeza wawasiliane nami kwa maelezo zaidi kupitia ;
0764 143 900
0715 143 900
hemedrenatus@yahoo.com
hgecompany@gmail.com

Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuambie mkuu mafuta na gesi ipi. Ni kampuni ya uchimbaji au wanauza hizo bidhaa moja kwa moja je ikitokea kampuni imepata hasara mtafanyaje kumlipa muwekezaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faida ya 10% kwa mwezi,sidhani kama mtatoa hiyo kwa muda wote.Ungesema 10 or 20 kwa Mwaka ningewapa kipaumbele kidogo.Waelezeni wawekezaji ukweli,iyo faida mnayotarajia in kubwa sana,hats makampuni ya DSE hayatoi kiwango hiko kwa Mwaka,yaani almost 120%profit per year.
 
Nikiwa kama mfanyabiashara Uliposema tu muwekezaji hatahusishwa na hasara ndo uliponipeperusha........hio deal wazungu wanasema ni "too good to be true"
Kwani mkuu ukiweka bank fixed deposit then kwa bahati mbaya bank ikapata hasara pesa yako itapotea ama utaipata? So huo ni mfano tu mkuu, ungekua shareholder ndio ungehusika kwenye hasara haya mbona yanafanyika sehemu nyingi tu Duniani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faida ya 10% kwa mwezi,sidhani kama mtatoa hiyo kwa muda wote.Ungesema 10 or 20 kwa Mwaka ningewapa kipaumbele kidogo.Waelezeni wawekezaji ukweli,iyo faida mnayotarajia in kubwa sana,hats makampuni ya DSE hayatoi kiwango hiko kwa Mwaka,yaani almost 120%profit per year.
Mkuu hapo juu nimeeleza ni kila baada ya miezi 3 tunapitia mkataba wetu, sasa mambo mengine yanabadilika kulingana na wakati. Utaratibu huu wa 10% pesa uliyowekeza inawezekana sana mkuu, yani sana tu. I wish ufike ofisini nikuonyeshe mifano halisi ya wanufaika waliowekeza pesa zao. Karibu sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mafuta mnanua wapi na mna7zia wapi mpaka mpate faida ya 10% kila mwezi? Labda kama mnayatoa Nigeria kwenye zile meli za wizi halafu mkiimport hamlipi kodi. Lakini Tanzania faida ya mafuta nyie kama sio importer haizidi 200/_ unaponuna 2500/_ kwa Lita. Kama wewe ni mkweli changanua tuone mtaji na faida uweke wazi. Ila kwa kuwa watanzania wasivyokuwa makini utawapata . halafu ukishapata mtaji utakuwa umewapa mtaji wao ndani ya miezi 10 halafu kampuni hewa itasambaa, na hapo utakuwa mjungwana sana, vinginevyo hiyo ni deck iliyoboreshwa wtu waibiwe nakampuni iyeyuke .sasa kama mafuta yana faida kubwa hivo he yule Kijana Forbes inamtambuakuwa ni mtanzania Kijana mwenye bilioni 30 so kia mwaka utajitiri ungekuwa maradufu kila mwaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom