Njoo usuke nywele nzuri kwa bei rahisi

LadyAJ

JF-Expert Member
Oct 21, 2015
7,173
9,631
Fundi ususi kwa bei poa anapatikana Manzese Bakhresa, nyumbani pia anakufuata (ila gharama itaongezeka kidogo), wasiliana nae kwa namba 0712721394 nywele zote zina range kati ya Tsh. 10,000 mpaka 20,000 (punguzo unapqta pia)
7024969e63502cda3869b5e8af923862.jpg

9418f029f773eb82634da1243ce01567.jpg
c1701fe0bef23b3481b897686382f9c6.jpg

7d7d77639e167581fd408a44fc37a66a.jpg

e186892155987bfa56e758cab6c8ca15.jpg

0ebc36ba9b784a8fd4856e9c53dac6ac.jpg

a991b82e46fe36bc4eade195a54f1b1f.jpg
 
Nasikia watoto wakisuka nywele wana weza kupoteza maisha, nini ukweli juu ya hili?
Ni kweli wala si uongo,watoto wadogo wenye wazazi waelewa hawatakiwi kusuka hasa nywele sampuli ya rasta na dredi maana nywele hizo huambatana na kuvutwa ngozi, ila wazazi vichwa ngumu wanawasuka
Muhimu: siwashauri wazazi wenzangu wakawakaze rasta watoto wetu,wasukwe tu za kawaida (kama ni lazima wasukwe) kwa rasta na dredi twende tu sisi wenye ngozi ngumu iliyokwisha komaa kichwani
 
Hiki nacho ni kiwanda. Asante kwa kushiriki kampeni ya Tanzania ya viwanda. Mungu abariki kazi za mikono yako.
 
Hiki nacho ni kiwanda. Asante kwa kushiriki kampeni ya Tanzania ya viwanda. Mungu abariki kazi za mikono yako.
tuna draya 4 kwa Mujibu wa mwijage tayari ni kiwanda, karibu tukuze uchumi wa viwanda mkuu
Fundi ususi kwa bei poa anapatikana Manzese Bakhresa, nyumbani pia anakufuata (ila gharama itaongezeka kidogo), wasiliana nae kwa namba 0712721394 nywele zote zina range kati ya Tsh. 10,000 mpaka 20,000 (punguzo unapqta pia)
7024969e63502cda3869b5e8af923862.jpg

9418f029f773eb82634da1243ce01567.jpg
c1701fe0bef23b3481b897686382f9c6.jpg

7d7d77639e167581fd408a44fc37a66a.jpg

e186892155987bfa56e758cab6c8ca15.jpg

0ebc36ba9b784a8fd4856e9c53dac6ac.jpg

a991b82e46fe36bc4eade195a54f1b1f.jpg
 
siku hizi kusuka 20 ni anasa .mimi nafatwa hadi home natoa buku tano . nikiwafata buku tatu . hyo elf 10 rasta za nani?
 
Back
Top Bottom