Habari wapendwa poleni na majukumu.
Nauza shamba langu linapatikana mkoani Morogoro wilaya ya Kilosa barabara ya mikumi kilosa njiani au barabara ya Kilosa - Mikumi.
Mkoa wa Morogoro
Wilaya ya Kilosa
kata ya zombo
Kitongoji cha Kipera Changarawe
ukiwa unaenda unashukia mlima wa togwa barabara ya kilosa kwenda mikumi
Jina la mwenyekiti wa serikali ya mtaa Kassim Nyuki
Shamba lina ukubwa wa heka 3 {70*70}*3 shamba lipo katika hali nzuri halina visiki wala miti mikubwa nilisha lisafisha ila kuna majani tu yaliyo ota kutokana mvua zinazo endelea kunyesha.
shamba ni mali yangu halali kabisa . Hakuna wanyama wa kula mazao ni mahali salama kabisa kwa ajili ya kilimo cha aina zote.
Unawezakuafanya kilimo cha mazao yafuatayo:
*ufuta
*mihogo
*kunde
*mahindi
*mtama
*pia unaweza ukafanya ufugaji kwani maji hayapo mbali ni wastani wa mita 3 kwenda chini unapata maji
*pia unaweza ukafanya kilimo cha miti ya mbao
SHAMBA NAUZA HEKA TATU KWA PAMOJA SAWA NA SH 900,000 SAWA NA 300,000 KILA HEKA.
Mawasiliano: 0688 501810
NJOO ULIPIE KWA AWAMU 2
PESA INAHITAJIKA HARAKA.
Attachments:
Nauza shamba langu linapatikana mkoani Morogoro wilaya ya Kilosa barabara ya mikumi kilosa njiani au barabara ya Kilosa - Mikumi.
Mkoa wa Morogoro
Wilaya ya Kilosa
kata ya zombo
Kitongoji cha Kipera Changarawe
ukiwa unaenda unashukia mlima wa togwa barabara ya kilosa kwenda mikumi
Jina la mwenyekiti wa serikali ya mtaa Kassim Nyuki
Shamba lina ukubwa wa heka 3 {70*70}*3 shamba lipo katika hali nzuri halina visiki wala miti mikubwa nilisha lisafisha ila kuna majani tu yaliyo ota kutokana mvua zinazo endelea kunyesha.
shamba ni mali yangu halali kabisa . Hakuna wanyama wa kula mazao ni mahali salama kabisa kwa ajili ya kilimo cha aina zote.
Unawezakuafanya kilimo cha mazao yafuatayo:
*ufuta
*mihogo
*kunde
*mahindi
*mtama
*pia unaweza ukafanya ufugaji kwani maji hayapo mbali ni wastani wa mita 3 kwenda chini unapata maji
*pia unaweza ukafanya kilimo cha miti ya mbao
SHAMBA NAUZA HEKA TATU KWA PAMOJA SAWA NA SH 900,000 SAWA NA 300,000 KILA HEKA.
Mawasiliano: 0688 501810
NJOO ULIPIE KWA AWAMU 2
PESA INAHITAJIKA HARAKA.
Attachments:
- video-1578938098.mp4
File size1,015.6 KB - video-1578938634.mp4
File size2.4 MB - video-1578938633.mp4
File size4.3 MB - kabla ya mvua na kabla halijasafishwa