Naomba kujua aina ya samaki unaotaka kufuga na hali ya bwawa lako laweza kua 20&40,15&30, mfano hiro la 20&40litakua na mita square 800 kil mita kwa sato weka watano watakua samaki 4000 kwa kambale utaweka kumi kwa mita 800×10 =8000 AsanteWakuu msaada vipimo vya bwawa la samaki 5000,upana,kina na urefu.
Mmmh! Mkuu morning nina jaribu kuwaza ziwani unafugaje samaki na je ownership yake inakuaje kwasababu natural ziwani kuna samaki tayari.Inawezekana kufuga samaki ziwani? Utaratibu ukoje? Yeyote mwenye idea naomba atushirikishe.
UFUGAJI SAMAKI KIBIASHARAInawezekana kufuga samaki ziwani? Utaratibu ukoje? Yeyote mwenye idea naomba atushirikishe.
Kama ivyo yan.Mmmh! Mkuu morning nina jaribu kuwaza ziwani unafugaje samaki na je ownership yake inakuaje kwasababu natural ziwani kuna samaki tayari.
Nimejaribu kujoin, naona sija upgrade WhatsApp yangu. Promise u, nitakutafuta. Asante sanaKama ivyo yan.
Karibu UFUGAJI SAMAKI KIBIASHARA
Ujifunze ufugaji samaki kibiasharaView attachment 997659
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kufuga samaki ziwani? Utaratibu ukoje? Yeyote mwenye idea naomba atushirikishe.