Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,239
- 821
mvua ikinyesha itabidi urudie kupiga dawa, na ndio umakini tunaozungumzia dawa inapigwa jua likianza kutoka kusiwe na umande lazima uangalie hali ya hewa kabla ya kupiga dawa na ikitokea mvua ya ghafla acha kupiga dawa na kama umemaliza kupiga dawa mvua ndio ikanyenya kama imepita hata lisaa moja dawa imefanya kazi haina haja ya kurudia.swali tafadhali:hivi madawa ya kupulizia minyanya huweza kudumu kwenye majani ikizuia wadudu kwa muda gani?na je,mvua ikinyeshea inabidi upulizie tena?
kuhusu dawa inadumu muda gani kila dawa imeandikwa inadumu muda gani ila mara nyingi ni siku 7 na siku 14