Jifunze kilimo cha nyanya

Niliwai kujaribu kilimo hiki cha Nyanya,mambo yalienda vizuri lakini kuna mdudu anaitwa Kanitangaze duu!,aliniharibia sana ijapokwa mtaji wangu ulirudi baada ya mavuno!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu...tatizo huwa tunajisahau kwenye upuriziaji wa dawa...unatakiwa upige dawa kwa kubadilisha badilisha baadhi ya wadudu huwa wanajibadilisha kupambana na dawa...wakizoea dawa moja ni vigumu kuwamaliza....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwai kujaribu kilimo hiki cha Nyanya,mambo yalienda vizuri lakini kuna mdudu anaitwa Kanitangaze duu!,aliniharibia sana ijapokwa mtaji wangu ulirudi baada ya mavuno!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa ya kanitangaze ni belt SC.
Ni tube ndogo tu ina mills 4 wanauza 4,000TZS

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Maji ndo dawa ya uo ugonjwa...inaonyesha miche hukuipa maji ya kutosha ama ulikuwa unamwagia kwa wingi ili kesho usimwagie...sekta ya umwagiliaji ni pana sana unatakiwa umwagie maji ya kutosha ila yasizidi sana na unatakiwa uzingatie muda kama ni kwa wiki mara tatu iwe ndio sheria hiyo hiyo sio unabadilika badilika....mimea ipo kama binaadam...

dokta ; matunda ya nyanya yanaharibika kwa kuanzia kwenye kitako cha tunda la nyanya. Wengi wanasema tatizo ni joto. nipo tabora. je ni kweli tatizo ni joto? nifanyeje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuongezea, achilia mbali maji ila pia anatakiwa aweke mbolea ya CAN au yara nitrabor!!
 
Tafuta dawa za ukungu...pia na za wadudu....ebony au ivory inaweza ikafaa...vile vile ni kama hiyo miche imedumaa kwa kukosa maji ya kutosha...mwaga maji kwa wingi ila si kwa kiasi kikubwa kupitiliza muda wa kumwagia uwe asubuhi au jioni ila kabla ya saa 12....mwisho wa kumwagia uwe saa 11. Jioni....usisahau mbolea za kukuzia ukikosa tumia mbolea ya ng'ombe au ya kuku....ichanganye hiyo mbole kwenye maji ya kumwahilizia...

Wataalamu nimepatwa na tatizo ktk nyanya zangu, hasa majani ya chiniView attachment 578476View attachment 578477
Kwa kuongezea... Kuna dawa za ukungu za kutibu na kuna dawa za kukinga. Ajitahidi kutafuta dawa za kutibu au dawa ya kutibu na kukinga at once.. Ivory 72WP au multpower itamfaa zaidi...
 
Nyanya ikianza kuweka maua inahitaji dawa?
inategemea kama kuna ugonjwa unahitaji dawa ya haraka piga dawa Ila kwa umakini
kuna baadhi ya dawa upukutisha maua au ww mwenyewe usipokuwa makini wakati wa kupiga dawa utapukutisha maua kimsingi maua ndio matunda yenyewe, elewa kwamba nyanya akianza kutoa maua haiitaji usumbufu
 
nafikiria kuanzisha kilimo hicho katika eneo ambalo ni mbali na ninapo fanyia kazi zangu na kwenda shamba mara kwa mara sitoweza kumudu gharama za nauli ila kwa kila wiki end naweza ... nasikia kipindi cha mvua nyanya huwa na ugonjwa wa ukungu sasa niliona kama kunachangamoto ya kulazimika kwenda shamba mara nyingi
karibu Moro mkuu
 
inategemea kama kuna ugonjwa unahitaji dawa ya haraka piga dawa Ila kwa umakini
kuna baadhi ya dawa upukutisha maua au ww mwenyewe usipokuwa makini wakati wa kupiga dawa utapukutisha maua kimsingi maua ndio matunda yenyewe, elewa kwamba nyanya akianza kutoa maua haiitaji usumbufu
Nilikuwa Nina miche 580.nimepata hela kiduchu. Msimu mbaya
 

Similar Discussions

21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom