Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
- Thread starter
- #41
Ni shida kwakweli..dahKweli aisee awa ndo wachawi wenyewe sema bado chanjo tu nalo litatimia
Ni shida kwakweli..dahKweli aisee awa ndo wachawi wenyewe sema bado chanjo tu nalo litatimia
Mimi nilitabiri kifo cha maguri au kushindwa kuendelea na Urais mwaka 2016 nakuomba unisaidie kuniombea kwa MODS wanirudishie uzi wangu maana waliufuta.Jina la uzi wangu ni ''NDOTO ZILIZOTIMIA''Habari wakuu..huu uzi ni maalum kwa ajili ya kutabiri/kubashiri mambo au matukio yatakayotokea nchini na duniani kwa ujumla..ni kwa ajili ya burudani tu na kupima nguvu/bahati/kipawa ulichonacho juu ya utabiri..
Unaweza kutabiri chochote kile..kitakachotukia kabla ya desemba 2021.iwe siasa mchezo,elimu,watu,wanyama n.k
Karibuni
tukio likitokea kama lilitabiliwa humu basi utakuwa umetisha na utakuwa ni mmoja kati ya watu wenye vipawa duniani
Mi natabiri mwaka huu kuna timu moja kubwa sana hapa Tanzania itapata pigo kubwa kwa kufungwa 3-0 na timu ndogo ambayo wengi hawakudhania
Wamekusikia lakini huu unahusu mwaka 2021Mimi nilitabiri kifo cha maguri au kushindwa kuendelea na Urais mwaka 2016 nakuomba unisaidie kuniombea kwa MODS wanirudishie uzi wangu maana waliufuta.Jina la uzi wangu ni ''NDOTO ZILIZOTIMIA''
Kiongozi mkubwa africa mashariki atakata moto.
Serikali ya Tanzania Itakubali chanjo na itakuwa lazima kwa kila.mwananchi kupata chanjo (Covid19)
Jamaa ni hatari
Hakuna ukweli wakati jamaa hapo juu katabiri tukio na limetokea kwa asilimia 99Hakuna ukweli wowote katika utabiri wa kwenye mitandao, ni chuki tu humsukuma mtu, yani kwa kifupi Hakuna mambo ya kutabiri tabiri hapaa...
Duh nilipatiaMwaka huu tutapoteza wabunge wengi kwa kuumwa! Vifo vitatokea kwa mfululizo na baadhi kwa nyakati tofauti.
Waziri mwenye rank kubwa atakufa!
WapiDuh nilipatia
Somea kwa juuWapi
umefeli...na ubingwa wa kwetuMi natabiri GSM atawatosa YANGA😆😆😆😆
hahahaDuh nilipatia
Hili lilitimiaKiongozi mkubwa africa mashariki atakata moto.
Serikali ya Tanzania Itakubali chanjo na itakuwa lazima kwa kila.mwananchi kupata chanjo (Covid19)
Ha ha haa,watu mpo kwenye mtandao aiseeKiongozi mkubwa africa mashariki atakata moto.
Serikali ya Tanzania Itakubali chanjo na itakuwa lazima kwa kila.mwananchi kupata chanjo (Covid19)