More pain
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 283
- 799
Fugeni paka, mbwa hapambani na mauzauza anapambana na wizi tu, kikubwa anabweka tu na kusepa. Ila paka bob, haondoki mpaka kieleweke, ama afe yeye au afe mchawi/shetani. Paka ni mlinzi mzuri kwenye haya maswala, hatuwaelewi tu mana wanajiskia sana wanyama hawa.
Watalaamu wanakwambia ukiona paka amekujua mguuni na kukuzonga sana haondoki ujue anakulinda na ubaya wa mauzauza, ila sisi tunaona anatusumbua tunampiga teke